Pingamizi katika maombi ya mirathi
KATIKA makala zangu hapo nyuma, niliwahi kuelezea umuhimu wa kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Pingamizi katika maombi ya mirathi — 2
WIKI iliyopia nilisema kwamba ni muhimu kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani ya kipindicha siku...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
10 years ago
Michuzi15 Sep
NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA PINGAMIZI LA KUSIMAMISHA BUNGE LA KATIBA
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo imetupilia mbali maombi ya pingamizi la awali la kusimamisha Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea, kwa kuwa wametumia kifungu cha sheria kisicho sahihi.
Kadhalika, mahakama hiyo imetupilia mbali pingamizi hilo la awali, kwa kuwa mlalamikaji ametumia kifungu cha sheria namba 2 kidogo cha (2) (JALA) ambacho hakina mamlaka ya kufungua maombi hayo...
10 years ago
MichuziKAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
10 years ago
GPLLULU AZAMA KATIKA MAOMBI
5 years ago
MichuziKAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
TABCO: Wanawake wamilikishwe mirathi
SHIRIKA linalojishughulisha na kutetea haki za wanawake na watoto jijini Mwanza la TABCO, limeitaka jamii nchini kuwathamini na kuwapa wanawake haki ya kumiliki mirathi ya wenzi wao. Kauli hiyo ilitolewa...
10 years ago
GPLMKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI