Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU AZAMA KATIKA MAOMBI

Brighton Masalu STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa sasa yupo ‘bize’ kwenye maombi kwa Mungu, kutokana na kile alichokiita, kutumia muda mwingi kuwa katika ibada za kumcha Mungu. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1N9lx0b

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IYANYA AZAMA KATIKA PENZI NA MWIGIZAJI CHIPUKIZI

Iyanya akiwa amepozi na ‘mshikaji’ wake Angel Ufumona. MWANAMUZIKI Iyanya aka ‘Mr Oreo’ wa Nigeria, amekolea katika penzi la muigizaji rembo ambaye ni chipukizi anayeshiriki naye katika maandalizi ya filamu iitwayo ‘Superstar’. Iyanya. Iyanya amejikuta katika ‘mahaba niue’ na mwigizaji, Angel Ufumoma, a nayeshirikiana naye katika filamu inayotarajiwa itainua zaidi fani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pingamizi katika maombi ya mirathi

KATIKA makala zangu hapo nyuma, niliwahi kuelezea umuhimu wa kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pingamizi katika maombi ya mirathi — 2

WIKI iliyopia nilisema kwamba ni muhimu kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani ya kipindicha siku...

 

11 years ago

Michuzi

LULU, MILARD AYO, KING MAJUTO WAIBUKA VINARA KATIKA SHEREHE ZA UTOAJI TUZO ZA WATU KATIKA HOTELI YA SERENA

 Millard Ayo akipokea Tuzo ya Mtangazaji wa Radio wa kiume anayependwa mara baada ya kuibuka mshindi katika kipengele hiko  Akiwashukuru Wadau waliompigia kura na kumpa sapoti  Salim Kikeke kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC akiwashukuru wadau wake waliomuwezesha kushinda Tuzo  King Majuto akifurahi mara baada ya kuppokea Tuzo yake mara baada ya kutangazwa mshindi wa Kipengele cha Msanii Bora anayependwa wa Kiume.Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog. Kwa picha zaidi BOFYA...

 

9 years ago

TheCitizen

Azam’s Farid to attend trials with Slovenia club

Azam FC’s slippery winger Farid Mussa is expected to leave for Slovenia next month for trials with the European country’s Premier League side, Maribor.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Azama M Bwinza: The Audacity to Rescue 7 people from being drowned in Lake Tanganyika

Azama M Bwinza: The Audacity to Rescue 7 people from being drowned in Lake Tanganyika.

azama1azama

Saturday 11th October 2014 will remain a dark day for the people of Kigoma in general and Kigoma North constituency in particular, especially the villages of Mtanga, Kigalye and Kalalangabo Kagongo ward. Ten people drowned in Lake Tanganyika following the capsizing of twin canoes (mtumbwi wa kipe) with more than 50 people in it.

It was a celebratory day at the offset. There was a wedding ceremony in...

 

9 years ago

StarTV

Tazama rekodi ya kipekee waliyoiweka Azama licha ya kukosa ngao ya hisani.

Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akiwa amedaka mpira mbele ya Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam REKODI YA STEWART TANGU AREJEE AZAM Azam FC 4-2 Friends Rangers (Kirafiki Chamazi) Azam FC 1-0 JKT Ruvu (Kirafiki Chamazi) Azam FC 1-0 African Sports (Kirafiki Tanga Azam FC 1-0 Coastal Union (Kirafiki Tanga) Azam FC 1-0 KCCA (Kagame Taifa) Azam FC 2-0 Malakia (Kagame Taifa) Azam FC 5-0 Adama City (Kagame Taifa) Azam FC 0-0 Yanga SC...

 

11 years ago

GPL

LULU KATIKA SKENDO YA KUPORA BWANA WA MTU

E LIZABETH Michael ‘Lulu’ anayetesa katika filamu za Kibongo, yupo kwenye bifu zito na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2012, Husna Maulid ambaye anadai amempora bwana’ke. Staa Elizabeth Michael ‘Lulu’ katika pozi. Habari zinaeleza bifu lao limefikia hatua ya kuanikana waziwazi hadi kumwagiana matusi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram lakini huondoa majibizano yao machafu kila baada ya...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV 
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani