TABCO: Wanawake wamilikishwe mirathi
SHIRIKA linalojishughulisha na kutetea haki za wanawake na watoto jijini Mwanza la TABCO, limeitaka jamii nchini kuwathamini na kuwapa wanawake haki ya kumiliki mirathi ya wenzi wao. Kauli hiyo ilitolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-65vcYacZzyU/XmM910wsLjI/AAAAAAAAf_k/pBVB07UYovoywLJr3vsKFbkbd9MZGa80QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200306-WA0020.jpg)
HATA WANAWAKE WANAWEZA KUANDIKA MIRATHI -WAKILI SUZANA SENSO
![](https://1.bp.blogspot.com/-65vcYacZzyU/XmM910wsLjI/AAAAAAAAf_k/pBVB07UYovoywLJr3vsKFbkbd9MZGa80QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200306-WA0020.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yz2EL1oUooA/XmM95DntBfI/AAAAAAAAf_o/dQRLeQbh4NIZWIjL9me3xxloOJwuu8_0wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200306-WA0012.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s320/law_5.jpg)
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali
UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’
VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.
Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
‘Watanzania hawana uelewa wa mirathi’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d2ykzKtnBqJGjNtYNFaZCfmyZGrQywCxx-SYHh3Dxd-FWUX*4ryzvDoVcYELnCpo3GRZd2dStg7GOXgZIfkHTSr/kulola.jpg?width=650)
MIRATHI YA KULOLA, FAMILIA YAMEGUKA
10 years ago
GPLMKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi