Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TABCO: Wanawake wamilikishwe mirathi

SHIRIKA linalojishughulisha na kutetea haki za wanawake na watoto jijini Mwanza la TABCO, limeitaka jamii nchini kuwathamini na kuwapa wanawake haki ya kumiliki mirathi ya wenzi wao. Kauli hiyo ilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

HATA WANAWAKE WANAWEZA KUANDIKA MIRATHI -WAKILI SUZANA SENSO

 WAKILI Suzana Senso akizungumza wakati akitoa mada  ya nafasi ya mwanamke kwenye urithi wa mirathi maadhimisho ya siku ya wanawake duniani  iliyofanyika kwenye viwanja vya Nkende Manispaa ya Musoma mjini iliyokuwa na kauli mbiu ya Kizazi cha Usawa kwa maendeleo ya Tanzania ya Sasa nay a Baadae MEZA Kuu wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye maadhimisho hayo kushoto ni Mwenyekiti wa UWT Taifa Gaudance Kabaka akifuatiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Caroline Matapula na  Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI

Na  Bashir  Yakub.
Mara  kadhaa kwenye  familia  mbalimbali   kumekuwa hakuna  maelewano  juu  ya  nani  asimamie  mirathi. Unakuta  wapo  wanaomkubali  fulani  asimamie  na  wapo  wanomkataa  wakimtaka   fulani  mwingine  ndiye  asimamie.  Hii   huwa  na  athari  kubwa sana  kwa  warithi  hasa  watoto  kama  wanasoma  ambao  kimsingi  hutakiwa kutumia mali  zile katika  mahitaji  ya  msingi  kama  ada  na  mahitaji  mengine muhimu ya  kiustawi. 
Tumeshashuhudia  mara  nyingi  watoto  wakiacha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABCO: Mwanamke ana haki kumiliki mali

UMILIKI wa mali zinazotokana na mirathi ni jambo muhimu linalotakiwa kutiliwa maanani na jamii yote pasipo kujali jinsia. Serikali nayo inatakiwa lazima iwajibike kikamilifu katika hili, juu ya kuhakikisha haki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’

VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO

Shinyanga

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.

Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Watanzania hawana uelewa wa mirathi’

Malalamiko na maswali kuhusu mirathi na talaka jana yalitawala katika Maonyesho ya Wiki ya Sheria, yaliyohitimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.

 

11 years ago

GPL

MIRATHI YA KULOLA, FAMILIA YAMEGUKA

Na Jelard Lucas
SHETANI ana majaribu yake! Anaendelea kuifuatilia familia ya mtumishi wa Mungu aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT), Marehemu Dkt. Moses Kulola. Habari za karibuni, mpasuko mkubwa umeibuka baada ya kuwepo kwa sintofahamu dhidi ya mirathi ya marehemu huyo aliyefariki dunia Agosti 29, mwaka jana huku makundi mawili yakiibuka.
Awali, Mchungaji Katunzi aliibuka na kudai...

 

10 years ago

GPL

MKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI

Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo. Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan
MKE wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu. Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi

Uwanja wa Kambole leo unakupa fursa ya kusoma na kuelewa juu ya sheria za mirathi hasa kwenye kipengele cha kumpinga na kumuondoa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo, unapaswa kufahamu kuwea kiuzoefu wasimamizi wengi wa mirathi ni wakorofi. Kwanza wakishachaguliwa wanaanza kutumia mali za marehemu kwa faida yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani