Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wataka wananchi wajadili, wamilikishwe gesi’

VIONGOZI wa dini wameitaka serikali kuwashirikisha wazawa katika umilikishwaji wa rasilimali ya gesi na kutoa fursa kwa taasisi nyingine kupata nafasi ya kujadili suala la gesi asilia. Azimio hilo lilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO

Shinyanga

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.

Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi waachwe wajadili hotuba ya Rais

Katika toleo la gazeti hili jana tulichapisha habari iliyomkariri Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu akisema kwamba kuendelea kuijadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwenye Bunge Maalumu la Katiba mwishoni mwa wiki, ni kupoteza muda.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka mapato, matumizi

Mkutano wa mwaka wa Kijiji cha Chalikani, Kata ya Maweni, Halmashauri ya Jiji la Tanga umevunjika baada ya wananchi kutaka kwanza kusomewa taarifa ya mapato na matumizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka ulinzi kwa albino

Kuanza upya kujitokeza mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino) mkoani Simiyu, kumesababisha wananchi kuomba Serikali kuwawekea ulinzi mkali walemavu hao ili waishi kwa amani.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WATAKA WAELIMISHWE KUYATAMBUA MABOMU

Bomu lililookotwa maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar es Salaam. BAADHI ya wananchi wameitaka serikali iwape elimu ya  kutambua zana za milipuko kama vile mabomu ili kuepusha madhara pindi wanapoyaokota au kuyakaribia. Kauli hizo zimetokana na kuongezeka kwa matukio ya kuonekana kwa zana za milipuko  na mabomu ambapo mengine yameokotwa  sehemu mbalimbali nchini, likiwemo bomu lililoonekana juzi maeneo ya Kijitonyama,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wataka muswada wa ubia uwanufaishe wananchi

>Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Ubia wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi unaweza kuwa na manufaa kwa Watanzania iwapo sekta binafsi itapewa kipaumbele katika kusimamia na kuendesha miradi mikubwa ya uchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahofia umiliki wa gesi

SHIRIKA la Twaweza limeeleza kuwa Watanzania wengi wana wasiwasi na serikali pamoja na matajiri katika kunufaika na upatikanaji wa mafuta na gesi nchini. Kwamba wananchi wamekuwa na imani kuwa gesi...

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WAZUIA MSAFARA WA LOWASSA.. WATAKA KUMUONA

Msafara wa Mhe.Lowassa wazuiliwa na wananchi mosh wakililia kumuona maeneo ya Boma akitokea KIA kuelekea msibani Mwanga..

Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa mhe. Lowassa kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana mhe.Mbatia, mhe Ndesamburo na mhe. Augustino mrema ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.......KWA HABARI Zaidi, Soma =>.www.africanmishe.blogspot.com

 

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani