Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi
WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
Wabunge EALA wataka katiba EAC kuangaliwa
WABUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema kuna umuhimu wa kuangalia upya katiba ya uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kutokana na mambo mengi yaliyopo ndani ya katiba hiyo kupitwa na wakati.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-8YDh9NTgmr0/Vj5yuljy3bI/AAAAAAAAXEM/N3W0qibnfP0/s72-c/WABUNGE-page-001.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Wadau wataka wanahabari walindwe
WADAU wa habari mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha waandishi wa habari wakati wanapotekeleza majukumu yao. Hayo yalisemwa na mdau wa habari, Mohamed Juma, wakati akichangia mada kwenye...
11 years ago
Habarileo11 Jun
Wabunge wataka walindwe na polisi
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge
WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Wadau wataka mfumo wa elimu uboreshwe
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wabunge wataka tume kuchunguza EFD
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Wataka idadi ya wabunge iwe 400
WAKATI rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge ikitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano liwe na wabunge wasiozidi 360 badala ya 75 waliopendekezwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba katika muundo...
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wabunge India wataka Marekani iwajibike