Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJINA YA WABUNGE WA KUCHAGULIWA WA CHADEMA 2015 - 2020

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ataka majina ya wabunge wa katiba

RAIS Jakaya Kikwete ametoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la...

 

11 years ago

Mwananchi

JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba

>Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Majina ya wabunge ‘majangili’ siri kubwa

Utata umeibuka kuhusu wabunge waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati ndogo ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuwa wanahusika na biashara ya pembe za ndovu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Majina ya wabunge waliogombea na kushinda kiumri

Majina ya wabunge waliogombea na kushinda kiumri

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 21 na 35 wako 47

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 36 hadi 50 wako 112

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 51 na zaidi wako 92.

————

Mbunge kijana zaidi ana miaka 21 na Mbunge mzee kuliko zaidi ana miaka 72

1

2

3

4

5

6

7

List ya Wabunge walioshinda.

 

9 years ago

Habarileo

Hatujachakachua majina ya wabunge viti maalumu -NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema majina ya wabunge wa Viti Maalumu iliyoyapitisha hayajachakachuliwa bali yamepitishwa kulingana na orodha ya vyama vya siasa vilivyowasilisha majina hayo.

 

9 years ago

Michuzi

Majina na Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la 11 na Majimbo watokayo

1 Dk Charles Tizeba- Buchosa CCM
2 Nimrod Mkono- Butiama CCM
3 Omar Badwel- Chilonwa CCM
4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM
5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM
6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM
7 Hassan Masala- Nachingwea CCM
8 Abdallah Chikota- Nanyamba CCM
9 Richard Mbogo- Nsimbo CCM
10 Ester Matiko- Tarime Mjini CHADEMA
11 Mwakajoka Frank- Tunduma CHADEMA
12 Joshua Nassari- Arumeru Magharibi CHADEMA
13 Dk Shukuru Kawambwa- Bagamoyo CCM
14 Andrew Chenge- Bariadi Magharibi CCM
15 Oscar Mukasa- Biharamulo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani