Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majina ya wabunge ‘majangili’ siri kubwa

Utata umeibuka kuhusu wabunge waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati ndogo ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuwa wanahusika na biashara ya pembe za ndovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali imesahau kutaja majina ya majangili?

Wakati Serikali ilipotangaza kuanza rasmi kwa awamu ya pili ya ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’ mapema Februari, mwaka huu baada ya kusitishwa kwa miezi mitatu, wananchi wengi walipata matumaini kwamba operesheni hiyo ingeanza mara moja ili kudhibiti kasi kubwa ya mauaji ya tembo katika hifadhi za wanyama iliyokuwa ikiendelea. 

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni hii ianze kwa kutaja wabunge majangili

>Serikali imetangaza rasmi kuanza upya kwa ‘Operesheni Tokomeza Majangili’, baada ya kuisitisha zaidi ya miezi mitatu iliyopita kutokana na operesheni hiyo kukumbwa  na matatizo ya utekelezaji, ambapo vilitokea vitendo vya ukatili na mateso na kuwaacha raia 13 na askari 6 wakiwa wamepoteza maisha.

 

10 years ago

Habarileo

Leteni majina ya madaktari watoa siri - Waziri

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, ametaka wananchi wenye ushahidi unaojitosheleza kuhusu madaktari na wauguzi wenye tabia ya kusambaza picha za wagonjwa katika mitandao ya kijamii na kutoa siri zao, wawasilishe majina yao wizarani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ataka majina ya wabunge wa katiba

RAIS Jakaya Kikwete ametoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la...

 

11 years ago

Mwananchi

JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba

>Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.

 

9 years ago

Dewji Blog

Majina ya wabunge waliogombea na kushinda kiumri

Majina ya wabunge waliogombea na kushinda kiumri

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 21 na 35 wako 47

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 36 hadi 50 wako 112

Wabunge Wenye umri wa Miaka Kati ya 51 na zaidi wako 92.

————

Mbunge kijana zaidi ana miaka 21 na Mbunge mzee kuliko zaidi ana miaka 72

1

2

3

4

5

6

7

List ya Wabunge walioshinda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani