Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba

>Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JK ataka majina ya wabunge wa katiba

RAIS Jakaya Kikwete ametoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la...

 

9 years ago

Michuzi

Majina na Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la 11 na Majimbo watokayo

1 Dk Charles Tizeba- Buchosa CCM
2 Nimrod Mkono- Butiama CCM
3 Omar Badwel- Chilonwa CCM
4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM
5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM
6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM
7 Hassan Masala- Nachingwea CCM
8 Abdallah Chikota- Nanyamba CCM
9 Richard Mbogo- Nsimbo CCM
10 Ester Matiko- Tarime Mjini CHADEMA
11 Mwakajoka Frank- Tunduma CHADEMA
12 Joshua Nassari- Arumeru Magharibi CHADEMA
13 Dk Shukuru Kawambwa- Bagamoyo CCM
14 Andrew Chenge- Bariadi Magharibi CCM
15 Oscar Mukasa- Biharamulo...

 

11 years ago

Michuzi

Bunge la Katiba: Spika ateua 6 kuchunguza malalamiko ya posho za Wajumbe

Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalum la Katiba, Ameir Pandu Kificho, ametangaza majina ya watu sita watakaounda timu kwa ajili ya kuyafanya bora malalamiko yaliyotolewa na baadhi ya wajumbe wa Bugne hilo kuwa ya posho ya Shilingi 300,000/= kwa siku haitoshi kuwawezesha kuifanya kazi hiyo kwa makini.
Akitangaza majina hayo kabla ya kuanza kwa semina kwa wajumbe hao, Kificho alirejea Sheria ya Mabadiliko ya Bunge la Katiba Sura ya 83 toleo la mwaka 2014 na kusema:“Kuhusu suala la kumudu kuishi...

 

11 years ago

Mwananchi

Jk ashughulikia majina wajumbe Bunge Katiba

Rais Jakaya Kikwete, ana kazi ngumu ya kuchuja majina ya watu 2,722 yaliyowasilishwa kwake na taasisi 10 ili kupata idadi ya kisheria ya wajumbe 201 watakaoingia katika Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Marekani wawasilisha majina Bunge la Katiba

KUNDI la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) wamewasilisha majina tisa Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Michuzi

news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba   jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jioni hii jijini Dar es salaam. Wanahabari wakimsikiliza  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhe.  Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba  yakitangazwa jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano...

 

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wa Bunge la Katiba waaswa

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutokuwa watumwa wa kupokea maagizo ya vyama vyao vya siasa kwa hofu ya kupoteza madaraka, kwani wakifanya hivyo watakuwa hawatendei haki wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani