JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba
>Hatimaye Rais Jakaya Kikwete amekamilisha uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, litakaloanza vikao vyake Februari 18 mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
JK ataka majina ya wabunge wa katiba
RAIS Jakaya Kikwete ametoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la...
9 years ago
Michuzi07 Nov
Majina na Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la 11 na Majimbo watokayo
2 Nimrod Mkono- Butiama CCM
3 Omar Badwel- Chilonwa CCM
4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM
5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM
6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM
7 Hassan Masala- Nachingwea CCM
8 Abdallah Chikota- Nanyamba CCM
9 Richard Mbogo- Nsimbo CCM
10 Ester Matiko- Tarime Mjini CHADEMA
11 Mwakajoka Frank- Tunduma CHADEMA
12 Joshua Nassari- Arumeru Magharibi CHADEMA
13 Dk Shukuru Kawambwa- Bagamoyo CCM
14 Andrew Chenge- Bariadi Magharibi CCM
15 Oscar Mukasa- Biharamulo...
11 years ago
Michuzi21 Feb
Bunge la Katiba: Spika ateua 6 kuchunguza malalamiko ya posho za Wajumbe
Akitangaza majina hayo kabla ya kuanza kwa semina kwa wajumbe hao, Kificho alirejea Sheria ya Mabadiliko ya Bunge la Katiba Sura ya 83 toleo la mwaka 2014 na kusema:“Kuhusu suala la kumudu kuishi...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Jk ashughulikia majina wajumbe Bunge Katiba
11 years ago
Habarileo04 Jan
Marekani wawasilisha majina Bunge la Katiba
KUNDI la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) wamewasilisha majina tisa Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s72-c/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cklqv0cA7t0/UvUE2xHYfOI/AAAAAAAFLoc/FgHAKplPQ7k/s1600/89e2b58e610b8cff1d38e455abdc87d6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9RLKwVLNi_U/UvUC6oR7vrI/AAAAAAAFLoQ/kLazWDkNaoA/s1600/f188acd617634856a19ed3f858e4714f.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
11 years ago
Habarileo02 Mar
Wabunge wa Bunge la Katiba waaswa
WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutokuwa watumwa wa kupokea maagizo ya vyama vyao vya siasa kwa hofu ya kupoteza madaraka, kwani wakifanya hivyo watakuwa hawatendei haki wananchi.