Marekani wawasilisha majina Bunge la Katiba
KUNDI la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) wamewasilisha majina tisa Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Jk ashughulikia majina wajumbe Bunge Katiba
11 years ago
Mwananchi08 Feb
JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba
11 years ago
Michuzinews alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo
11 years ago
MichuziSITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Yanga wawasilisha katiba TFF
BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba
Na Fredy Azzah, Dodoma
MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.
Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.
Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...
10 years ago
GPLUMOJA WA MACHIFU TANZANIA (UMT) WAWASILISHA MAPENDEKEZO YAO KUHUSIANA NA RASIMU YA KATIBA MPYA