news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jioni hii jijini Dar es salaam. Wanahabari wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba yakitangazwa jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNews alert: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo –...
11 years ago
Michuzipinda akiwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba mjini dodoma leo
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Jk ashughulikia majina wajumbe Bunge Katiba
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Wajumbe Bunge Maalumu la Katiba na mawazo mgando
NI ukweli usiopingika kuwa Bunge Maalumu la Katiba limetawaliwa na wajumbe walio wengi mamluki, ambao wamevaa makoti ya CCM. Hakika sina shaka mamluki hao wamekuwa wakisimamia misimamo ya chama chao...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wajumbe Bunge Maalumu la Katiba changanyeni akili
WAPO wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walioambiwa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasigombee ubunge kwa tiketi ya chama hicho cha upinzani bali wajiunge na CCM...
10 years ago
VijimamboWajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Watishiwa Maisha
Kunani Jamani Tanzania Tunaelekea Wapi?
11 years ago
Michuzi25 Feb
HAFLA YA KUWAPONGEZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA MJINI DODOMA