News alert: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
.jpg)
Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.
Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo –...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Apr
Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
11 years ago
Michuzi.jpg)
BONGO5 MEDIA GROUP YATANGAZA MAJINA YATAKAYOWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA, 2014
.jpg)
Awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyodumu kwa wiki mbili na siku kadhaa imekua ikikusanya majina matano kwenye kila kipengele kama ifuatavyo:...
11 years ago
Michuzi
news alert: Majina ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba yatangazwa leo


10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)
10 years ago
Bongo515 Sep
Majina ya walioingia fainali ya tuzo za ‘CNN MultiChoice African Journalist 2015’ yatangazwa, Mtanzania yuko mmoja
10 years ago
Bongo522 Apr
Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
SPORT NEWS: CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew..
Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.
Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015
Na Rabi Hume
Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.
Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.
Majina kamili ya wachezaji hao;
1. Pierre – Emerick Aubameyang (Gabon, Borussia Dortmund)
2. Andre Ayew (Ghana, Swansea)
3. Sadio Mane (Senegal,...
10 years ago
Vijimambo
MAJINA WATAKAOSHINDANIA TUZO ZA WATU


Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FMAmplifaya – Clouds FMHatua Tatu – Times FMPapaso – TBC FMXXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3
Abdallah ‘Dullah’ Ambua - EATV Salama Jabir – EATV/Maisha MagicSalim Kikeke – BBC SwahiliSam Misago - EATVZamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa...