Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015
Tunapenda kuwaomba radhi wananchi kwa kushindwa kutangaza majina yaliyoingia kwenye hatua ya tano bora katika vipengele 14 vinavyoshindaniwa kwenye Tuzo za Watu 2015. Hii imetokana na sababu mbalimbali ambazo zimekuwa nje ya uwezo wetu. Sababu hizo ni pamoja na: 1. Zoezi la kukusanya na kuhesabu mapendezo kuwa refu kutokana na wingi wa kura kuliko ilivyotarajiwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 May
Majina yaliyoingia kwenye fainali (Top 3) ya tuzo za watu yametoka
10 years ago
Bongo525 Apr
Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7FgqYWeLyI/VTpZNFjpJqI/AAAAAAAHS80/l6HxK-QGpCU/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
News alert: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7FgqYWeLyI/VTpZNFjpJqI/AAAAAAAHS80/l6HxK-QGpCU/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo –...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...
9 years ago
Bongo503 Nov
Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015
![sam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sam-300x194.jpg)
Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.
Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Tuzo hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s72-c/square_with_sponsors.jpg)
MAJINA WATAKAOSHINDANIA TUZO ZA WATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s1600/square_with_sponsors.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sxleg7a-Ksc/VTunGPfnSHI/AAAAAAADkec/5l6fzCndd7g/s1600/TZW%2BNominees%2B-%2B2105.jpg)
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FMAmplifaya – Clouds FMHatua Tatu – Times FMPapaso – TBC FMXXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3
Abdallah ‘Dullah’ Ambua - EATV Salama Jabir – EATV/Maisha MagicSalim Kikeke – BBC SwahiliSam Misago - EATVZamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMqOm8oBi3f5N8f1i5JifOcm0SkGEK74AYQqg*EHnPZvt7fH-GAcXT2gbkdepPT7SN8gUPv7xnjS8l6EG6QHHICW/tuzozawatu.jpg?width=650)
MAJINA YA TUZO ZA WATU YALIYOPATIKANA KUTOKANA NA MAPENDEKEZO YA WANANCHI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s72-c/unnamed+(14).jpg)
BONGO5 MEDIA GROUP YATANGAZA MAJINA YATAKAYOWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s1600/unnamed+(14).jpg)
Awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyodumu kwa wiki mbili na siku kadhaa imekua ikikusanya majina matano kwenye kila kipengele kama ifuatavyo:...
10 years ago
Vijimambo12 May
TOP 3 YA TUZO ZA WATU
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...