Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015

Tunapenda kuwaomba radhi wananchi kwa kushindwa kutangaza majina yaliyoingia kwenye hatua ya tano bora katika vipengele 14 vinavyoshindaniwa kwenye Tuzo za Watu 2015. Hii imetokana na sababu mbalimbali ambazo zimekuwa nje ya uwezo wetu. Sababu hizo ni pamoja na: 1. Zoezi la kukusanya na kuhesabu mapendezo kuwa refu kutokana na wingi wa kura kuliko ilivyotarajiwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Majina yaliyoingia kwenye fainali (Top 3) ya tuzo za watu yametoka

Baada ya wiki kadhaa za mpambano mkali wa kura za tuzo za watu, leo tunapenda kutangaza majina matatu katika kila kipengele yaliyoingia kwenye fainali. Majina hayo yamefanikiwa kuingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio zimewaingia kwenye fainali hiyo, hakuna kingine. Fainali za tuzo za watu mwaka huu zitafanyika […]

 

10 years ago

Bongo5

Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo. Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 25. Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye […]

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo.
Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:

Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1         
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo –...

 

10 years ago

Dewji Blog

Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel

square_with_sponsors-1

Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam.  Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.

Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.

Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.

Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...

 

9 years ago

Bongo5

Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015

sam

Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.

sam

Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.

Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).

Tuzo hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

MAJINA WATAKAOSHINDANIA TUZO ZA WATU


Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1         
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala     za Roho – Clouds FMAmplifaya – Clouds FMHatua Tatu – Times FMPapaso – TBC FMXXL – Clouds FM

Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3     
Abdallah ‘Dullah’ Ambua - EATV  Salama Jabir – EATV/Maisha MagicSalim Kikeke – BBC SwahiliSam  Misago - EATVZamaradi Mketema – Clouds TV

Kipindi cha runinga kinachopendwa...

 

11 years ago

GPL

MAJINA YA TUZO ZA WATU YALIYOPATIKANA KUTOKANA NA MAPENDEKEZO YA WANANCHI

1. MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA
1. Vanessa Mdee – Choice FM
2. Millard Ayo – Clouds FM
3. Hamis Mandi aka B12 – Clouds FM
4. Mariam Kitosi – Times FM
5.Ergon Elly – Mbeya Highlands FM 2. KIPINDI CHA REDIO KINACHOPENDWA
1. The Hitlist – Choice FM
2. Xxl – Clouds FM
3. Amplifaya – Clouds FM
4. Hatua Tatu – Times FM
5. Power Breakfast- Clouds FM 3....

 

11 years ago

Michuzi

BONGO5 MEDIA GROUP YATANGAZA MAJINA YATAKAYOWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA, 2014

Tarehe 29 April, Bongo5 Media Group ilizindua rasmi tuzo za watu Tanzania kwa mwaka 2014. Uzinduzi huo ulienda sambamba na kuanza rasmi kwa mchakato wa kupendekeza majina yatakayoingia kwenye tuzo za mwaka huu. Wananchi walishiriki kupiga kura kupitia njia ya mtandao kwenye tovuti ya www.tuzozetu.com, na kwa njia ya ujumbe mfupi wa  simu za mkononi.


Awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyodumu kwa wiki mbili na siku kadhaa imekua ikikusanya majina matano kwenye kila kipengele kama ifuatavyo:...

 

10 years ago

Vijimambo

TOP 3 YA TUZO ZA WATU

Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam.  Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani