Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hlNK27egHQY/VjeY2nIRvnI/AAAAAAAID88/0rKa_B9qr6w/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
TICKETS ON SALE NOW FOR THE ST. ANDREW'S BALL @ the Hyatt Regency Hotel in Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-hlNK27egHQY/VjeY2nIRvnI/AAAAAAAID88/0rKa_B9qr6w/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Lots of great food (of course with HAGGIS) with beer, wine and whisky on the table. Our fantastic Scottish Band all the way from Bonny Scotland, Jigging until the wee small hours of the morning. Party on after the Ball at ROUGE Night club in the Hyatt - plus Amazing raffle prizes to be...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Marciano Fashion Dash kufanyika ndani ya ukumbi wa Regency Park Hotel, Sept 29
Saleem Siwila ni mmoja kati ya wadada wenye vipaji vya ku-design mitindo mbalimbali ya mavazi hapa home Tz, ambaye ameona ni vyema kukuandalia Show ili uweze ku-enjoy na wanamitindo kwa pamoja. Hivyo ukiwa kama shabiki wa ukweli unaependa Fashion, basi hii ni habari njema kutoka kwa mwanadada huyo maarufu kwa jina la Saleem Siwila coz anakuletea Fashion Show inayoitwa ‘Marciano Fashion Dash’ itakayo fanyika ndani Regency Park Hotel, chini ya usimamizi wa ‘Hasleem Fashion Design’ 26,...
9 years ago
VijimamboColetha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN (USA) walivyo meremeta siku ya July 18, 2015 Azania Front halafu Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ
Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa yao iliyofanyika julai 18 2015 katika kanisa la Azania Front, Dar es Salaam Tanzania.
10 years ago
Bongo522 Apr
Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Waliong’ara kwenye red carpet ya “Meremeta na Hassanali” @Hyatt Regency The Kilimanjaro
Mbunifu nguli wa mitindo Afrika, Mustafa Hassanali akiwa kwenye red carpet na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antila (kulia) kwenye halfa ya kusheherekea miaka 15 ya mafanikio kwenye sekta ya mitindo iliyoambatana na uzinduzi wa aina mpya ya mavazi aliyoipa jina la “Meremeta na Hassanali” sambamba na huduma mpya ya wateja wa Airtel na mashabiki wa mitindo kuwa karibu na Mustafa Hassanali pamoja na kupata taarifa zake mbalimbali kwa kupiga *148*82# ambapo mteja atatozwa shilingi 90 za...
9 years ago
VijimamboTAASISI YA WANAWAKE WAHASIBU TANZANIA KUZINDULIWA HOTELI YA HYATT REGENCY KILIMANJARO DAR ES SALAAM KESHO
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Kwa mara ya kwanza Hyatt Regency ya Hong Kong yatoa ofa ya smartphone kwa wageni wake
Na Mwandishi Wetu
Kwa mara ya kwanza hoteli maarufu duniani ya Hyatt Regency ya Hong Kong imetoa simu aina ya smartphone bure kwa wageni wake waliopanga kwenye hoteli hiyo.
Hoteli hiyo ya Hyatt Regency pia ilitoa viburutisho mbalimbali kama vile chocolates na mvinyo wa bure pamoja na simu aina ya smartphone katika vyumba vyake vyote 381 ili jitihada za kuongeza uzoefu kwa wasafiri na watalii kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Katika kuwapa smartphone wateja wake za bure ni katika kutoa...
10 years ago
Vijimambo12 May
TOP 3 YA TUZO ZA WATU
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10