Kwa mara ya kwanza Hyatt Regency ya Hong Kong yatoa ofa ya smartphone kwa wageni wake
Na Mwandishi Wetu
Kwa mara ya kwanza hoteli maarufu duniani ya Hyatt Regency ya Hong Kong imetoa simu aina ya smartphone bure kwa wageni wake waliopanga kwenye hoteli hiyo.
Hoteli hiyo ya Hyatt Regency pia ilitoa viburutisho mbalimbali kama vile chocolates na mvinyo wa bure pamoja na simu aina ya smartphone katika vyumba vyake vyote 381 ili jitihada za kuongeza uzoefu kwa wasafiri na watalii kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Katika kuwapa smartphone wateja wake za bure ni katika kutoa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
China yatoa onyo mgogoro wa Hong Kong
9 years ago
Bongo514 Sep
AY akutana na mdogo wake kwa mara kwanza baada ya miaka 16
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Jokate Mwegelo Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Uhusiano Wake na Alikiba
Wengi wanaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba kwasasa ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi. Tetesi na hisia juu ya wawili hao kuzama kwenye dimbwi la mahaba zinachangiwa na picha zao kadhaa zinazoenea kwenye mtandao picha wa Instagram.
Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV. “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali.
Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be...
10 years ago
Michuzi12 Jan
Padri John Wotherspoon atembelea tanzania kuonana na familia za walio magerezani kwa kukamatwa na mihadarati hong kong
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/M6qLEO6gkCTaWEFXFzfRJY_MOsGrMejnN_33Oq_kGg9ILHJcPsAqdHwB5N2pQeY68WRPW06JdenjbRTFWXshba36Jm4mxyDkr54Em05wxBCDJc0g6Jq1LchIgbHRZoNAAKum3UKGHAwJpA4E9-09pTuZqMKM2Lp4UeLbAELGT1skewGty48JOThlH_ikMkOvPxQ-9rfp6ULfqpAID1ste2Rk3lWL2v10D2J05ACr69VQXwfOQjThmf8vmhii3CgmUf0=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/0uMX6j0VBUm35*9jc0J5o2SLNY6x1LeehXsbBYtXFsRMcUvN-dLdzuMs6NilzhA6l9Eqg13lScJ7UYXoHbcpqWbbdklokrmM/91224ef4a4592820e852201fe942373b_0.jpg?width=640)
Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
John Wotherspoon...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hlNK27egHQY/VjeY2nIRvnI/AAAAAAAID88/0rKa_B9qr6w/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
TICKETS ON SALE NOW FOR THE ST. ANDREW'S BALL @ the Hyatt Regency Hotel in Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-hlNK27egHQY/VjeY2nIRvnI/AAAAAAAID88/0rKa_B9qr6w/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Lots of great food (of course with HAGGIS) with beer, wine and whisky on the table. Our fantastic Scottish Band all the way from Bonny Scotland, Jigging until the wee small hours of the morning. Party on after the Ball at ROUGE Night club in the Hyatt - plus Amazing raffle prizes to be...
11 years ago
Michuzi18 Jun
uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...