TAASISI YA WANAWAKE WAHASIBU TANZANIA KUZINDULIWA HOTELI YA HYATT REGENCY KILIMANJARO DAR ES SALAAM KESHO
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo utakaofanyika leo Hoteli ya Hyatt Regence (Kilimanjaro Hoteli). Kutoka kulia ni Mratibu wa Taasisi hiyo, Rose Majuva, Mwenyekiti, Bahati Geuzye na mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboColetha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN (USA) walivyo meremeta siku ya July 18, 2015 Azania Front halafu Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ
Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa yao iliyofanyika julai 18 2015 katika kanisa la Azania Front, Dar es Salaam Tanzania.
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Taasisi ya Wanawake Wahasibu nchini (TAWCA) kuzinduliwa leo
Mratibu wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Rose Majuva (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Katikati ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bahati Geuzye na Mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo...
10 years ago
Michuzi
TICKETS ON SALE NOW FOR THE ST. ANDREW'S BALL @ the Hyatt Regency Hotel in Dar es salaam

Lots of great food (of course with HAGGIS) with beer, wine and whisky on the table. Our fantastic Scottish Band all the way from Bonny Scotland, Jigging until the wee small hours of the morning. Party on after the Ball at ROUGE Night club in the Hyatt - plus Amazing raffle prizes to be...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Waliong’ara kwenye red carpet ya “Meremeta na Hassanali” @Hyatt Regency The Kilimanjaro
Mbunifu nguli wa mitindo Afrika, Mustafa Hassanali akiwa kwenye red carpet na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antila (kulia) kwenye halfa ya kusheherekea miaka 15 ya mafanikio kwenye sekta ya mitindo iliyoambatana na uzinduzi wa aina mpya ya mavazi aliyoipa jina la “Meremeta na Hassanali” sambamba na huduma mpya ya wateja wa Airtel na mashabiki wa mitindo kuwa karibu na Mustafa Hassanali pamoja na kupata taarifa zake mbalimbali kwa kupiga *148*82# ambapo mteja atatozwa shilingi 90 za...
11 years ago
MichuziMSD YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA SIKU YA MALARIA DUNIANI KATIKA HOTELI YA HYATT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziCHADEMA YAANDAA KONGAMANO LA WAZEE, KUFANYIKA KESHO HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
10 years ago
MichuziBLOGGERS KUKUTANA KESHO KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA PATI YA KIHISTORIA
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Bloggers kukutana kesho katika hoteli ya Serena Jijini Dar Es Salaam katika pati ya kihistoria
Jaji Kiongozi atoa somo kwa watumishi wa mahakama, vyama vya waajiri na waajiriwa Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni mjumbe wa TBN Mkala Fundikira, Afisa wa kampuni ya mawasiliano na matangazo ya AIMS, Shafiq Mpanja wa AIM, Ofisa Uhusiano wa NMB Doris Kilale na mjumbe wa TBN Khadija Kalili.
Katika mkutano huo TBN imesema kesho Jumamosi jioni Bloggers...