Taasisi ya Wanawake Wahasibu nchini (TAWCA) kuzinduliwa leo
Mratibu wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Rose Majuva (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Katikati ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bahati Geuzye na Mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
TAWCA, KUSAIDIA WANAWAKE WAHASIBU NCHINI
10 years ago
VijimamboTAASISI YA WANAWAKE WAHASIBU TANZANIA KUZINDULIWA HOTELI YA HYATT REGENCY KILIMANJARO DAR ES SALAAM KESHO
11 years ago
Michuzi.jpg)
Taasisi ya Handeni Kwetu Foundation kuzinduliwa August 5
.jpg)
Kuanzishwa kwa taasisi hiyo ni kutafuta namna ya kusaidiana na serikali katika mambo mbalimbali, ikiwamo Kujenga uwezo kwa jamii kujikwamua kiuchumi na kuhamasisha utawala.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa taasisi hiyo,...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
11 years ago
Michuzi01 Feb
RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO

RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
Tunataka...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...
11 years ago
GPL
MICHUANO YA ESTHER CUP KUZINDULIWA LEO
11 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Operesheni Sambaratisha CCM kuzinduliwa leo
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Temeke, Bernad Mwakyembe, amewaomba wananchi wa wilaya hiyo kuwaunga mkono katika Operesheni yao ya ‘Sambaratisha CCM, Mtaa kwa Mtaa Temeke’. Mwakyembe, alitoa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10