Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
p>KLABU ya Mwananyamala Jogging, inatarajiwa kufanya sherehe maalumu za kuizindua tangu ilipoanzishwa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Salum Nyumba ‘Chisco’, alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EpY83Jejf1Y/default.jpg)
11 years ago
Michuzi01 Feb
RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO
![My bad, nimesahau kuweka anwani ya mtandaoni ya RADIO MBAO. Ni www.radiombao.com na itakuwa hewani kuanzia Februari Mosi 2014. Sie tunaamini katika #SharingIsCaring , na RADIOMBAO inakuhamasisha nawe ku-share nasi habari yoyote ile . Usihofie kwamba “ah mie sio mwandishi” tutahariri habari yako na itasomwa/kusikika katika nchi 138 duniani. Na wala usikwazwe na “ah mie sijawahi kuandika” kwani kama unaweza kuandika SMS basi kwa hakika unaweza pia kuandika habari. Pia kila jambo lina mwanzo, mtoto hazaliwi akitembea. Kwahiyo yawezekana RADIOMBAO ikaibua kipaji chako…lakini ili hilo liwezekane basi usihofie ku-share nasi habari. Ni Jumamosi Februari 1, 2014, mahali pa kukutana ni www.radiombao.com #SharingIsCaring (at Glasgow)](http://31.media.tumblr.com/946bfbe0832fc2c069028f00eb9a104b/tumblr_n05ck7D7K71qzfdwuo1_500.jpg)
RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
Tunataka...
11 years ago
MichuziNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAFfqE9PXDQ/U8ULlNRDAPI/AAAAAAAF2UE/cWvvVv0Dir0/s1600/DSC_0128.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Operesheni Sambaratisha CCM kuzinduliwa leo
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Temeke, Bernad Mwakyembe, amewaomba wananchi wa wilaya hiyo kuwaunga mkono katika Operesheni yao ya ‘Sambaratisha CCM, Mtaa kwa Mtaa Temeke’. Mwakyembe, alitoa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bpBhld6WW5qyvRzUf9tHtsed4ty9b7v64TKoaAqWoC5JWIhOgXLyMODt-ewgULODCHLF12UFPIYTny9BTvXAat/3ESTERBULAYA.jpg?width=650)
MICHUANO YA ESTHER CUP KUZINDULIWA LEO
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA KINONDONI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA PALESTINA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-erIP2BjF2xw/VP3i3Q62HlI/AAAAAAAHJMY/dupOw_NneFs/s1600/DSC_1491.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s72-c/201512120815%252C52.jpg)
WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s640/201512120815%252C52.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITALQRWR9Mc/VmxMo0GxL2I/AAAAAAAIL8s/tj7_ifV35PQ/s640/2015121208155%252C1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Maduka matatu ikiwemo nyumba vyateketea kwa moto karibia na Hospitali ya Mwananyamala leo
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/118.jpg)
*******
Moto mkubwa uliosababishwa na hitilafu ya Umeme umewaka eneo la jirani na Hospitali ya Mwananyamala na kusababisha kuungua kwa Maduka matatu pamoja na nyumba moja ambayo ilikuwa imeungana na duka moja wapo ambamo walikuwa wanauza vitambaa na kushona nguo.
Moto huo ulichukua zaidi ya masaa mawili ambapo wakazi wa eneo hilo ndio waliosaidia kwa kiasi kikubwa kuzima...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10