TOP 3 YA TUZO ZA WATU
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 May
Majina yaliyoingia kwenye fainali (Top 3) ya tuzo za watu yametoka
10 years ago
Dewji Blog13 May
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...
10 years ago
Bongo522 Apr
Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s72-c/unnamed.jpg)
ULIISIKIA HII YA MANJI KUSHINDA SHANI AU TUZO KUBWA ZAIDI, TUZO AMBAYO HUWANIWA NA WATU KAMA DANGOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s640/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa makampuni ya Quality group, Yusuf Manji ameibuka mshindi wa tuzo maarufu ya Mfanyabiashara Gwiji Duniani.
Manji ambaye ni mwenyekiti wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga ameibuka mshindi wa tuzo hiyo na kuwashinda mabosi wengine kama bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote.Kwa mujibu wa mtandao wa Business Forum, Mwenyekiti huyo wa amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo hiyo ambayo awali walikuwa wakichukua matajiri wengine wakubwa na maarufu kutoka katika...
9 years ago
Bongo511 Nov
Kundi la Navy Kenzo lachaguliwa kuwania tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria
Kundi la Navy Kenzo limechaguliwa kuwania kipengele cha Kundi Bora La Muziki katika tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria.
Makundi mengine ya Nigeria ambao yanawania kipengele kimoja na Navy Kenzo ni Dupi 2, Connect Music Group (Cmg), Ace Republic, Dp-Kings na Betrose.
Kura zimeanza kupigwa November 8, 2015 na zitafungwa December 31, 2015. Washindi wa tuzo hizo watatangazwa January 2, 2016 na sherehe ya utolewaji wa tuzo itafanyika January 26, 2016 jijini Lagos, Nigeria.
Navy...
9 years ago
Bongo503 Nov
Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015
![sam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sam-300x194.jpg)
Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.
Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Tuzo hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heSLPCfJlI8xjIPrIoWkUcFrhgjER5vQOQHecRnpzGtaDJ1Ws544MZX-v5zUXQG5cKQ8gzko3h2Tj-bMwJlyXqs/glbl.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s72-c/square_with_sponsors.jpg)
MAJINA WATAKAOSHINDANIA TUZO ZA WATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-37YHfe2ReLA/VTunDssE7-I/AAAAAAADkeQ/rJB84mD6lck/s1600/square_with_sponsors.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sxleg7a-Ksc/VTunGPfnSHI/AAAAAAADkec/5l6fzCndd7g/s1600/TZW%2BNominees%2B-%2B2105.jpg)
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo – Clouds FM
Kipindi cha redio kinachopendwa TZW2
Ala za Roho – Clouds FMAmplifaya – Clouds FMHatua Tatu – Times FMPapaso – TBC FMXXL – Clouds FM
Mtangazaji wa runinga anayependwa TZW3
Abdallah ‘Dullah’ Ambua - EATV Salama Jabir – EATV/Maisha MagicSalim Kikeke – BBC SwahiliSam Misago - EATVZamaradi Mketema – Clouds TV
Kipindi cha runinga kinachopendwa...