TUZO ZA WATU TANZANIA 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Washindi wa Tuzo ya Watu Tanzania 2014
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heSLPCfJlI8xjIPrIoWkUcFrhgjER5vQOQHecRnpzGtaDJ1Ws544MZX-v5zUXQG5cKQ8gzko3h2Tj-bMwJlyXqs/glbl.jpg?width=650)
10 years ago
Dewji Blog24 May
Tuzo za Filamu Tanzania 2015 zafana Dar wasanii kibao wazoa tuzo
![Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala pamoja na viongozi mbalimbali wa meza kuu kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 wakipiga picha na baadhi ya washindi wa Tuzo za Filamu 2015 jana zilizofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_02641.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iyC-TF1Yx_0/VVVGB7OnIWI/AAAAAAAHXXw/b5IqUUjiP4M/s72-c/IMG_20150425_140738.jpg)
tatu bora ya Tuzo za Watu 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-iyC-TF1Yx_0/VVVGB7OnIWI/AAAAAAAHXXw/b5IqUUjiP4M/s320/IMG_20150425_140738.jpg)
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo...
10 years ago
Dewji Blog24 May
Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!
Pichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa tuzo zao..
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Washindi hao ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi...
10 years ago
Bongo525 Apr
Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7FgqYWeLyI/VTpZNFjpJqI/AAAAAAAHS80/l6HxK-QGpCU/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
News alert: Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7FgqYWeLyI/VTpZNFjpJqI/AAAAAAAHS80/l6HxK-QGpCU/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 24.
Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye tano bora:
Mtangazaji wa redio anayependwa TZW1
Dida – Times FMD’Jaro Arungu – TBC FMDiva – Clouds FMMariam Kitosi – Times FMMillard Ayo –...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Top 3 ya Tuzo za Watu 2015 yatoka, kufanyika Ijumaa, May 22, Hyatt Regency Hotel
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla...
10 years ago
Bongo522 Apr
Sababu za kuchelewa kutangaza majina yaliyoingia kwenye Top 5 ya tuzo za watu 2015
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L7nuCPaUTek/default.jpg)