tatu bora ya Tuzo za Watu 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-iyC-TF1Yx_0/VVVGB7OnIWI/AAAAAAAHXXw/b5IqUUjiP4M/s72-c/IMG_20150425_140738.jpg)
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam. Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heSLPCfJlI8xjIPrIoWkUcFrhgjER5vQOQHecRnpzGtaDJ1Ws544MZX-v5zUXQG5cKQ8gzko3h2Tj-bMwJlyXqs/glbl.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s72-c/unnamed.jpg)
TUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8_7P9qWSQk/VPFjHmDlawI/AAAAAAAHGbg/lG3ff_aN4zw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-snHdalURuNk/VPFjCg8JaTI/AAAAAAAHGaY/g4Y3NYL8u7I/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgUMH0I5cGI/VPFjEPnCOWI/AAAAAAAHGas/dZIVjUoQAw0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
10 years ago
MichuziEWURA YAPATA TUZO MDHIBITI BORA WA NISHATI 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
9 years ago
Bongo517 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora BBC Afrika 2015
![151113145647_afoty_2015_512x288_bbc](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151113145647_afoty_2015_512x288_bbc-300x194.jpg)
Wacheji watano ambao wanagombea tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014 Yacine Brahimi, yupo kwenye orodha hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, André Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mané na Yaya wote wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa kupiga kura hadi tarehe 30, Novemba.
Unaweza kupiga kura mtandaoni kwa kubofya hapa au kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K5so_1ymcaE/Vhu4WiEjn_I/AAAAAAAH_fU/8HKiBHdi40o/s72-c/New%2BPicture.png)
PROFESA NDULU, ATUNUKIWA TUZO YA GAVANA BORA AFRIKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-K5so_1ymcaE/Vhu4WiEjn_I/AAAAAAAH_fU/8HKiBHdi40o/s1600/New%2BPicture.png)
Tuzo hiyo inayojulikana kama ‘Central Bank Governor of the Year’ ilitolewa na taasisi ya Africa Investor (Ai) jijini New York, Marekani hivi karibuni katika mkutano wake wa nane uliohudhuriwa na zaidi watu 250 maarufu katika biashara, serikali, maendeleo, sekta ya fedha na wakuu wa nchi tano za Afrika.
Prof. Ndulu aliibuka kidedea kwa kuwashinda magavana wa benki...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL Group yashinda tuzo ya mwajiri bora mwaka 2015
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa (kulia) akimkabidhi kombe la tuzo ya mwajiri bora kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese (Kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na Chama Cha Waajiri Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City mwishoni mwa wiki ambapo TBL iliibuka kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2015,(katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck sadiki.
Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese akionyesha kombe la tuzo ya mwajiri bora...
9 years ago
Bongo506 Jan
Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza
![150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters-300x194.jpg)
Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.
Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.
Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...