EWURA YAPATA TUZO MDHIBITI BORA WA NISHATI 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari juu ya tuzo waliopata Dubai katika udhibiti wa Nishati iliofanyika Ofisi za EWURA, leo jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhandisi wa Umeme EWURA, Anastas Mbawalla. Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi akionyesha kitabu cha kinachofafanua masuala ya mikataba katika sekta ya Nishati ambacho Mtaalam wa Mhandisi wa Umeme, Anastas Mbawalla (kushoto)alishiriki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Ewura yajinyakulia tuzo ya mdhibiti bora
10 years ago
MichuziWizara ya Nishati na Madini yapata tuzo ya Kimataifa
10 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
10 years ago
GPLTBL YAPATA TUZO YA NSSF YA MWAJIRI BORA
9 years ago
MichuziVODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
10 years ago
Michuzi14 Dec
PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE
Balozi wa PSPF Bw.Mrisho Mpoto alionesha tuzo iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (ISSA) kwa Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa ajili ya kwa kutumiaTeknolojia ya Habari na Mawasilino katika utunzaji wa kumbukumbu za wateja na kwa kuwasiliana na wateja wake kwa kutumia simu za mikonono, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu.
10 years ago
Michuzitatu bora ya Tuzo za Watu 2015
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo...
11 years ago
MichuziNishati na Madini kuanzisha Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya Nishati
10 years ago
MichuziTUZO ZA WASANII BORA WA MUZIKI WA ZANZIBAR MWAKA 2015