Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ewura yajinyakulia tuzo ya mdhibiti bora

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeibuka mshindi wa tuzo ya mdhibiti bora wa nishati barani Afrika kwa mwaka 2015 huku ikieleza kuwa hatua hiyo itawavutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

EWURA YAPATA TUZO MDHIBITI BORA WA NISHATI 2015

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi akizungumza na waandishi wa habari juu ya tuzo waliopata Dubai katika udhibiti wa Nishati iliofanyika Ofisi za EWURA,  leo  jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhandisi wa Umeme EWURA, Anastas Mbawalla. Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi akionyesha kitabu cha kinachofafanua masuala ya mikataba katika sekta ya Nishati ambacho Mtaalam wa Mhandisi wa Umeme, Anastas Mbawalla (kushoto)alishiriki...

 

11 years ago

Michuzi

Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma Tuzo zilitolewa kwenye hafla maalum na Waziri wa Utawala bora

Twaweza, kama sehemu ya kazi zake kwenye Mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), imetoa tuzo za kompyuta (aina ya laptops) na taa zinazotumia nishati ya jua kwa waandishi 37 kutokana na mawazo yao juu ya namna Serikali na wananchi wanavyoweza kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji.
Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya mchezaji bora Afrika.

Mbwana Samatta leo hii anatarajia kuwasili nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo la BBC la mchezaji bora Afrika

Siku chache kabla ya kutajwa majina ya wachezaji watakaowania tuzo la BBC la Mchezaji bora Afrika katika kandanda BBC inawataja wachezaji wanaoibuka

 

10 years ago

Michuzi

tatu bora ya Tuzo za Watu 2015

Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam.  Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.
Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.
Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.
Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijiwe chastukia tuzo ya rahisi bora

BI Sofi Lion aka Kanungaembe akiwa ameandamana na Kanji, anaingia kwa furaha ya aina yake. Si kawaida yake kununua gazeti ukiachia mbali kushobokea yale ya udaku. Leo kavunja mwiko. Anaingia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi bora CBE wapata tuzo

TZ-College-of-Business-Education

Na. Aron Msigwa – MAELEZO

Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.

Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tuzo kwa mvinyo bora Ufaransa

UNESCO, limetowa tuzo lake kuu kwa maeneo mawili yanayosifika Ufaransa kwa utengenezaji mvinyo aina ya Champagne na Burgundy

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani