Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!
Pichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa tuzo zao..
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Washindi hao ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
HAWA NDIYO WASHINDI WA TUZO ZA BET 2015
11 years ago
GPL
WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC NI HAWA
10 years ago
Bongo Movies24 May
Hawa Ndio Washindi wa Tuzo za Taifa za Filamu, Tanzania Film Awards (TAFA)
1. Best Actress In Leading Role: Irene Paul
2. Best Comedian: King Majuto
3 .Best Supporting Actress: Grace Mapunda
4. Best Supporting Actor (Male): Tino Hisani Muya
5. Best Screenplay: Irene Sanga
6. Tribute Award (Film Industry Support) : President Jakaya Kikwete
7. Tribute Personality Award: Steven Kanumba
8. Tribute Media : Zamaradi Mketema For Takeone(Clouds TV/Fm)
9. Life Time Achievement Award: Mzee Jangala
10. Best Feature Film : Network
11. Best Director : John Kalaghe
12. Best...
9 years ago
Bongo502 Jan
Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016

Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.
Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.
Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:
Headies...
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Tuzo za H.Baba na Familiya Yake Zafanyika Jana, Picha na Washindi Hapa
Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi jana Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo.

Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015

Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best...
10 years ago
Vijimambo16 Sep
WANAOGAMBANIA TUZO ZA BET HAWA HAPA AMBAO NI PAMOJA NA BRAKE, BIG SEAN, NICKI MINAJ

Drake is feeling blessed right now. The Toronto rap star nabbed a whopping 12 nominations for the 2015 BET Hip-Hop Awards. Fellow rhymers Big Sean and Nicki Minaj also garnered some major nods as well.
Drizzy is a nominee in categories including Album of the Year (If You’re Reading This It’s Too Late), Hustler of the Year, Lyricist of the Year and Sweet 16 for his guest verse on Big Sean’s “Blessings.”
Speaking of Sean Don, the Detroit rhymer...
10 years ago
Bongo523 Feb
Orodha ya washindi wa tuzo za Oscars 2015 zilizofanyika Hollywood