Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuzo za H.Baba na Familiya Yake Zafanyika Jana, Picha na Washindi Hapa

HBABA41

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi  jana Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu.

Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo.

Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake

Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015

Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best Artist Female of the year

Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!

TIIPichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa  tuzo zao..

Na Andrew Chale, Modewji blog

Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.

Washindi hao  ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nisher amzawadia tuzo baba yake

BAADA ya kushinda katika Tuzo za Watu 2014 zinazoandaliwa na mtandao wa Bongo5, mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nisher, ameamua kumkabidhi baba yake mzazi tuzo hiyo. Nisher, ni...

 

9 years ago

Bongo5

H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)

Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo

Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.

Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo

Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: H.Baba na mkewe Flora Mvungi wapeana tuzo, sherehe zafana

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi Jumamosi ndani ya Giraffe Ocean View Hotel wamefunga ukame wa tuzo kwa kupeana wenyewe kwa wenyewe baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na filamu. Rais wa shirikisho la wasanii Ado Novemba akimkabidhi tuzo ya msanii bora wa kutumbuiza H.Baba Tuzo […]

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Mamia wamzika Baba yake Belle 9

Mastaa wa muziki pamoja na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi hapo jana, katika mazishi ya baba wa staa wa muziki, Belle 9 aliyefariki akiwa hospitalini mkoani humo usiku wa Machi 18 akipatiwa matibabu baada ya kugongwa na pikipiki.

Belle akiwa na wasanii pamoja na wadau mbalimbali mbele ya kaburi la marehemu baba yake baada ya mazishi.

Meneja wake, Jahz Zamba, aliiambia Bongo5 kuwa, Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini...

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA MAZISHI YA BABA YAKE BENJAMINI MWANAMBUU WA GPL

Jeneza likiingizwa kaburini.
Mke na watoto wa marehemu wakiweka mashada ya maua.…

 

9 years ago

MillardAyo

H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha)

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi  leo Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani