Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha)

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi  leo Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia

Usiku wa Dec 20 2015 mastaa wa Bongo H.Baba pamoja na mke wake Flora Mvungi walizitoa tuzo zao za mwaka 2015 kama walivyofanya mwaka uliopita, H Baba amekua akisema tuzo anazozitoa yeye ni tuzo zisizo na upendeleo tofauti na tuzo nyingine ndio maana anaona asawazishe, tazama hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […]

The post Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz)

Ukiitaja Kariakoo moja kwa moja akili na mawazo ya watu wengi huenda kwenye zile mishemishe za pale katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Jumatano ya January 6 2016 ndio inaishaisha hivyo, sio mbaya ukaona baadhi ya mitaa ya Kariakoo ilivyokuwa busy siku ya leo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]

The post Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond akabidhiwa tuzo zake za MTV EMA 2015

diamond ema

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best African Act’ na ‘Best World Wide Act’ kwenye MTV EMA 2015, hatimaye Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi tuzo zake Ijumaa hii Dec 11.

dai ema

Kupitia Instagram yake Diamond alipost picha akikabidhiwa tuzo hizo na kuandika:

“What a nice day.. have jus Received my Trophies from @MtvEma as the #BestAfricanAct #BestWorldWideAct only God knows How much i was waiting for them….@melaniecarmen @babutale … thaks alot @MtvEma”

Tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilitolewa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: H.Baba na mkewe Flora Mvungi wapeana tuzo, sherehe zafana

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi Jumamosi ndani ya Giraffe Ocean View Hotel wamefunga ukame wa tuzo kwa kupeana wenyewe kwa wenyewe baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na filamu. Rais wa shirikisho la wasanii Ado Novemba akimkabidhi tuzo ya msanii bora wa kutumbuiza H.Baba Tuzo […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Tuzo za H.Baba na Familiya Yake Zafanyika Jana, Picha na Washindi Hapa

HBABA41

Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi  jana Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu.

Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo.

Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake

Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015

Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best Artist Female of the year

Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best...

 

9 years ago

Bongo5

H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)

Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo

Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.

Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo

Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake

Pamoja na wengi kuamini kuwa ubora wa filamu za Tanzania ni mdogo, wapo vijana wanaofanya filamu tofauti zinazowashangaza hadi wataalam wa industry hiyo nchini Marekani. Timoth Conrad akiwa na tuzo aliyoshinda hivi karibuni nchini Marekani Mmoja wa vijana hao ni Timoth Conrad Kachumia ambaye mwezi huu alishinda tuzo kwenye tamasha la Silicon Valley African Film […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Si Baba Malcom tu, Nikki Mbishi sasa ni Baba Nathan pia!!

Hivi karibuni rapper Nikki Mbishi aliongeza member mwingine kwenye familia yake. Nikki akiwa na mwanae, Nathan Rapper huyo ana amepata mtoto mwingine wa kiume aitwaye Nathan. Tayari rapper huyo ana mtoto mwingine wa kiume aitwaye Malcom. Mama Nathan ameandika: Together God gave us Nathan!! yes he is his father no more questions!! Have a good […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani