H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha)
Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi leo Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia
Usiku wa Dec 20 2015 mastaa wa Bongo H.Baba pamoja na mke wake Flora Mvungi walizitoa tuzo zao za mwaka 2015 kama walivyofanya mwaka uliopita, H Baba amekua akisema tuzo anazozitoa yeye ni tuzo zisizo na upendeleo tofauti na tuzo nyingine ndio maana anaona asawazishe, tazama hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […]
The post Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz)
Ukiitaja Kariakoo moja kwa moja akili na mawazo ya watu wengi huenda kwenye zile mishemishe za pale katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Jumatano ya January 6 2016 ndio inaishaisha hivyo, sio mbaya ukaona baadhi ya mitaa ya Kariakoo ilivyokuwa busy siku ya leo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]
The post Dar es Salaam na mishemishe zake, Kariakoo palikuwa hivi leo… (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo512 Dec
Picha: Diamond akabidhiwa tuzo zake za MTV EMA 2015
![diamond ema](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/diamond-ema-300x194.jpg)
Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best African Act’ na ‘Best World Wide Act’ kwenye MTV EMA 2015, hatimaye Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi tuzo zake Ijumaa hii Dec 11.
Kupitia Instagram yake Diamond alipost picha akikabidhiwa tuzo hizo na kuandika:
“What a nice day.. have jus Received my Trophies from @MtvEma as the #BestAfricanAct #BestWorldWideAct only God knows How much i was waiting for them….@melaniecarmen @babutale … thaks alot @MtvEma”
Tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilitolewa...
10 years ago
Bongo527 Sep
Picha: H.Baba na mkewe Flora Mvungi wapeana tuzo, sherehe zafana
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Tuzo za H.Baba na Familiya Yake Zafanyika Jana, Picha na Washindi Hapa
Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi jana Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo.
![Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/TUZO-ZA-HBABA.jpg)
Mtoto wao anayejulikana kwa jina la Tanzanite akipokea tuzo yake
![H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/TUZO-ZA-HBABA23.jpg)
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wakikabidhiwa tuzo ya Best Couple of the year iliyodumu mwaka 2015
![Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best Artist Female of the year](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/TUZO-ZA-HABABA324.jpg)
Kushoto ni Flora Mvungi akimkabidhi msanii wa Bongo Movie, Riyama tuzo ya Best...
9 years ago
Bongo521 Dec
H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)
![Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dr.-Fadhili-Emily-akiiwakilisha-The-Fadhaget-Sanitarium-Clinic-akimkabidhi-Tanzanite-tuzo-ya-ubalozi-wa-Kliniki-hiyo--300x194.jpg)
Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
11 years ago
Bongo526 Jul
Picha: Si Baba Malcom tu, Nikki Mbishi sasa ni Baba Nathan pia!!