Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia
Usiku wa Dec 20 2015 mastaa wa Bongo H.Baba pamoja na mke wake Flora Mvungi walizitoa tuzo zao za mwaka 2015 kama walivyofanya mwaka uliopita, H Baba amekua akisema tuzo anazozitoa yeye ni tuzo zisizo na upendeleo tofauti na tuzo nyingine ndio maana anaona asawazishe, tazama hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […]
The post Video ya H.Baba alivyozitoa tuzo zake za mwaka 2015… kaongea pia appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha)
Msanii wa muziki H.Baba akishirikiana na mke wake Flora Mvungi leo Dec 20 Jumapili wamefunga ukame wa tuzo kwa kutoa tuzo zao baada ya kuona kila mmoja kati yao ana mchango kwenye muziki na Filamu. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika tukio hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post H.Baba katoa tuzo zake leo…mpaka wapenzi wasio na majungu wamepata (Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Bongo526 Jul
Picha: Si Baba Malcom tu, Nikki Mbishi sasa ni Baba Nathan pia!!
10 years ago
CloudsFM19 Jan
H.BABA: MWAKA HUU TUZO ZANGU ZA KIFAMILIA NIMEONGEZA CATEGORY,ZIPO ZAIDI YA 20.
Mwaka 2013 ndiyo mwaka ambao msanii wa Bongo Fleva,H baba aliamua kuanzisha tuzo zake za kifamilia ambazo alizitoa kwa ajili ya familia yake,ambapo ilikuwa yeye pamoja na Mke wake Flora Mvungi.
Tuzo hizo walizipa jina la Tuzo za Familia,ambapo Flora Mvungi alipata tuzo za Msanii Bora wa filamu kwa mwaka 2014 na H baba akajipa tuzo ya Mtumbuizaji Bora wa mwaka 2014.
Baadhi ya category hizo ni mtumbuizaji bora wa mwaka,msanii bora wa mwaka.
9 years ago
Bongo509 Dec
Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria
Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.
Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).
AFRICAN ARTISTE OF THE...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015…
Serena Williams katangazwa kuwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015, katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Pier 60 uliopo New York City, ulihudhuriwa pia na dada yake Venus Williams, mlezi wao ambaye ni kocha wao Oracene Price, Will Smith na wengine. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Serena Williams alivyotangazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo502 Jan
Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016
Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.
Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.
Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:
Headies...
9 years ago
Bongo528 Nov
Dewji ambwaga rais wa Nigeria na kushinda tuzo ya Forbes, ‘Person Of The Year 2015’
Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amembwaga rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na wengine watatu kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za ‘Forbes Africa’s Person Of The Year 2015’ zilizotolewa jana.
“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. #FAPOY2015,” wameandika Forbes
Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.
Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
MillardAyo27 Dec
Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015…
December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam wakazi wa 88.5 walishuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye ujio wake mzito wa 2015. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika show hiyo zitazame hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.