Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).

AFRICAN ARTISTE OF THE...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba na Vanessa Mdee watajwa kuwania tuzo za HiPipo za Uganda (2016)

tuzo

Diamond Platnumz, Alikiba na Vanessa Mdee wametajwa kuwania tuzo za muziki za Uganda, HiPipo za mwaka 2016.

tuzo

Wasanii hao wametajwa kwenye vipengele vya Afrika Mashariki.

Kipengele cha kwanza ni East Africa Super Hit ambacho kinawaniwa na wasanii wa Kenya na Tanzania. Nana ya Diamond Platnumz, Nobody But Me ya Vanessa Mdee f/ K.O na Mwana ya Alikiba zimetajwa.

Kingine ni East Africa Best Video ambapo Nana ya Diamond Platnumz na Nobody But Me ya Vanessa Mdee zimetajwa.

Bofya hapa kusoma majina...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Jumatatu. Tuzo hizo zitatolewa October 10 wakati wa Black Academy of Arts and Letters, Dallas nchini Marekani. Diamond ndiye aliyeongoza kwa kutajwa kwenye vipengele vingi zaidi ambavyo ni takriban saba. Hii ndio orodha kamili: 1. Best Male West Africa Davido (Nigeria) […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda

Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani. ‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele kimoja cha East Africa Super Hit. Nyimbo za […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond, Vanessa, Wakazi, Mpoto na Yamoto watajwa kuwania tuzo za Kora 2016, zawadi kubwa ni sh. Bilioni 2

kora2016

Hatimaye majina ya wanaowania tuzo za Kora 2016 yametangazwa rasmi leo Dec.3 , ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii watano.

kora2016

Diamond Platnumz ametajwa kuwania kipengele cha Best Male- East Africa, huku Vanessa Mdee akiwania Best Female-East Africa. Wakazi anawania kipengele cha Best Hip Hop, na Yamoto Band wametajwa kuwania kipengele cha Most Promising Male Artist Of Africa, bila kumsahau Mrisho Mpoto anayewania Best Traditional Male Artist Of Africa.

kor

Mbali na tuzo yenyewe zawadi kubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)

Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah yuko kwenye orodha ya waliotajwa kuwania tuzo zingine za nchini Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards (AELA)’. Platnumz ametajwa kuwania vipengele viwili, ‘African Legends Artist of The Year’ akichuana na Dbanj, P-Square, Faze, Reggie Rockstone, Asa, R2bees pamoja na 2face. Kipengele cha pili anachowania ni ‘Best collabolation’ kupitia wimbo wake […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS ZA NCHINI MAREKANI

Ni neema nyingine kwa Diamond na Vanessa Mdee baada ya kutajwa  kuwania tuzo za MTV MAMA za nchini Africa Kusini zinazotarajiwa kufanyika leo usiku huko Durban, Afrika Kusini, hivi karibuni  wasanii wametajwa tena kuwania tuzo zinazojulikana kama African Entertainment Awards (AEA) za nchini Marekani. Kwenye tuzo hizo za  African Entertainment, Diamond Platnumz ametajwa katika vipengele  viwili ikiwa ni kipengele cha...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond', yupo katika kipengele cha Best Male. Staa wa muziki Tanzania, Vanessa Mdee 'Vee money',  yupo katika kipengele cha Best Female . Best Male
AKA…

 

10 years ago

Bongo5

BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA, limewapongeza Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu kwa kutajwa kuwania kwenye tuzo za All Africa Music Awards, AFRIMA 2014. Pia baraza hilo limempongeza Diamond kwa kuchagulikuwa kuwa msanii wa mwezi wa MTV Base. Haya ni maelezo yaliyotolewa na Katibu Mkuu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza. Baraza la Sanaa […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania ‘African Youth Choice Awards’ za Nigeria

Msimu wa tuzo kwa Diamond Platnumz a.k.a baba Tiffah bado unaendelea, ametajwa kuwania ‘African Youth Choice Awards’ AYCA2015 za nchini Nigeria. Muimbaji huyo wa ‘Nana’ anawania vipengele viwili kwenye tuzo hizo, ambavyo ni YOUTH CHOICE Artiste Of The Year pamoja na YOUTH CHOICE Best Male. Hivi ni vipengele anavyoshindania: YOUTH CHOICE Artiste Of The Year: […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani