Bunge la Katiba: Spika ateua 6 kuchunguza malalamiko ya posho za Wajumbe
Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalum la Katiba, Ameir Pandu Kificho, ametangaza majina ya watu sita watakaounda timu kwa ajili ya kuyafanya bora malalamiko yaliyotolewa na baadhi ya wajumbe wa Bugne hilo kuwa ya posho ya Shilingi 300,000/= kwa siku haitoshi kuwawezesha kuifanya kazi hiyo kwa makini.
Akitangaza majina hayo kabla ya kuanza kwa semina kwa wajumbe hao, Kificho alirejea Sheria ya Mabadiliko ya Bunge la Katiba Sura ya 83 toleo la mwaka 2014 na kusema:“Kuhusu suala la kumudu kuishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qIHpMWSYoHE/UwYrZzLiZuI/AAAAAAAASwo/8r7U2VzXuK0/s72-c/index.jpg)
Bunge la Katiba: Maoni kuhusu malalamiko kuwa posho haitoshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-qIHpMWSYoHE/UwYrZzLiZuI/AAAAAAAASwo/8r7U2VzXuK0/s1600/index.jpg)
Maria Sarungi-Tsehai, Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook ameandika: Kimsingi tuliteuliwa kwenda kuwakilisha wananchi wa vikundi mbalimbali katika Bunge maalum la katiba kufanya kazi moja tu kwa siku 70 - kuandaa pendekezo la katiba kisha tutawanyike turudi makwetu. Hatujaenda huko kutajirika wala...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho
MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-SLqDMKyy2vo/U-hbRiif3HI/AAAAAAAABdA/A4lZul8U2FI/s72-c/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
Bunge ladhibiti posho kwa wajumbe watoro
NA WAANDISHI WETU BUNGE Maalum la Katiba limeweka udhibiti mkali kwa wajumbe wenye tabia ya kusaini posho bila kuhudhuria vikao.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SLqDMKyy2vo/U-hbRiif3HI/AAAAAAAABdA/A4lZul8U2FI/s1600/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Mwananchi08 Feb
JK ateua majina ya wabunge wa bunge la Katiba