Bunge ladhibiti posho kwa wajumbe watoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-SLqDMKyy2vo/U-hbRiif3HI/AAAAAAAABdA/A4lZul8U2FI/s72-c/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
JUKATA laonya katiba si mradi binafsi Mrema: Nina akili timamu sio za UKAWA
NA WAANDISHI WETU BUNGE Maalum la Katiba limeweka udhibiti mkali kwa wajumbe wenye tabia ya kusaini posho bila kuhudhuria vikao.Wabunge wa bunge maalum la katiba wakiendelea na vikaoLimesema kuwa lilishitukia mbinu hizo mapema kabla ya kuanza kwa vikao huku baadhi ya wajumbe wa kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa ndio wamekuwa na mchezo huo.Kutokana na hali hiyo, mfumo wa malipo kwa wajumbe kwa sasa umebadilika...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni
10 years ago
Habarileo12 Jun
Spika atishia kukata posho kwa watoro
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ametishia kukata posho za wajumbe wa baraza hilo ambao watashindwa kuheshimu na kudhibiti nidhamu ya mahudhurio ya vikao hivyo vinavyoendelea.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho
MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...
11 years ago
Michuzi21 Feb
Bunge la Katiba: Spika ateua 6 kuchunguza malalamiko ya posho za Wajumbe
Akitangaza majina hayo kabla ya kuanza kwa semina kwa wajumbe hao, Kificho alirejea Sheria ya Mabadiliko ya Bunge la Katiba Sura ya 83 toleo la mwaka 2014 na kusema:“Kuhusu suala la kumudu kuishi...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Hii ndiyo timu ya kufuatilia posho za wajumbe wa #Bunge la #Katiba
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mapendekezo posho Bunge yatua kwa JK
KAMATI iliyoteuliwa kushughulikia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imewasilisha mapendekezo kwa Rais Jakaya Kikwete, ikisubiri maelekezo ya kuongezwa au la.