Serikali imesahau kutaja majina ya majangili?
Wakati Serikali ilipotangaza kuanza rasmi kwa awamu ya pili ya ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’ mapema Februari, mwaka huu baada ya kusitishwa kwa miezi mitatu, wananchi wengi walipata matumaini kwamba operesheni hiyo ingeanza mara moja ili kudhibiti kasi kubwa ya mauaji ya tembo katika hifadhi za wanyama iliyokuwa ikiendelea.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Operesheni hii ianze kwa kutaja wabunge majangili
9 years ago
MichuziWAANDISHI WAMETAKIWA KUTAJA MAJINA SAHIHI YA WATU WENYE ULEMAVU KUEPUKA UNYANYAPA
Sehemu ya waandishi wakifatilia maada katika semina iliyoandaliwa na SHIVYAWATA BA panoja na Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Dar es Salaam(DCPC) iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Na Chalila...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Majina ya wabunge ‘majangili’ siri kubwa
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Serikali imewekeza katika siasa, imesahau wakulima
11 years ago
Habarileo14 Mar
Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi
KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Majangili kushamiri ni uzembe wa Serikali
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?
10 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mugabe atarajiwa kutaja makamo mpya