Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?

Tuna vita mikononi mwetu hivyo ni muhimu tutumie kila tulichonacho kupambana na kushinda vita hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..Picha hiyohapo niliyo screenshoot.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania watakiwa kupambana na majangili

Watanzania wametakiwa kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali kupambana na uwindaji haramu wa wanyama unaofanywa na majangili kwenye mbuga za wanyama.

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE WAMETAKIWA KUPAMBANA NA MAJANGILI WA WANYAMA PORI




Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika maanadamano,katika siku ya Wanawake Duniani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.Watumishi wa mamlaka ya Wanyamapori TAWA  Mkoa wa Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakiadhimisha  siku ya wanawake duniani katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
………………………………………………………………NA FARIDA SAIDY MOROGORO.
Wakati dunia inaadhimisha siku ya mwanawake duniani wanawake nchini  wametakiwa kuwa...

 

9 years ago

Vijimambo

KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO

Ndege aina ya Super Bat DA-50
Na Daniel Mbega, Mkomazi

NI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanja mdogo wa ndege (air strip) katika eneo la Kisima ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi inayotenganisha mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.

Uwanja unaonekana mweupe, hakuna ndege! Nikashangaa kwa sababu wenyeji wetu kampuni ya Bathawk Recon wametuambia tunakuja kushuhudia uzinduzi wa ndege maalum zinazopambana na ujangili.Kilichoonekana mbele yetu ni hema...

 

9 years ago

GPL

KIAMA CHA MAJANGILI CHAJA, BATHAWK YAZINDUA NDEGE MAALUM KUPAMBANA NAO‏

Ndege aina ya Super Bat DA-50 Ndege zilizojaribiwa, DT-18 ilijaribiwa Tarangire   Hii ilitengenezwa Ufaransa. Ni ndogo sana, inaweza kuruka kwa saa mbili tu katika nusu kipenyo cha kilometa 15 kutoka ilipo mitambo. DT-26 ilijaribiwa Selous…

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NI KWELI HAPA PAMESHINDIKANA??

 Ni Miaka mingi sasa imepita huku shimo hilo la chemba likifanyiwa vibweka vya kuwekewa mavitu ya aina mbali mbali ikiwa ni ishara ya alama kwamba hapa kuna shimo.kiukweli shimo hili ni kero sana kwa watumiaji wa njia hiyo hasa ukizingatia lipo maeneo ya katikati ya jiji la Dar pembeni ya jengo refu la Benjamin Mkapa Tower na usoni kwa Makao Makuu ya Benki ya NMB.swali linakuja,hivi ni kweli kwamba hapa pameshindikana kufanyiwa kabisa kutafutiwa ufumbuzi yakinifu?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sio kweli tumeshindwa kupambana na ujangili

MOJA ya habari kwenye gazeti hili leo, zinamkariri Rais Jakaya Kikwete akiiangukia jumuia ya kimataifa kuisaidia Tanzania kukomesha ujangili unaosababisha mauaji ya tembo na faru kwa kasi ya kutisha. Katika...

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali haiwezi kuwa na dini’

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini, lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani