‘Serikali haiwezi kuwa na dini’
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini, lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EhAyVT9CLPk/U4H2tQp3fDI/AAAAAAAFk8U/EqDsEkrTHYc/s72-c/images+(3).jpg)
PINDA: SERIKALI HAIWEZI KUWA NA DINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhAyVT9CLPk/U4H2tQp3fDI/AAAAAAAFk8U/EqDsEkrTHYc/s1600/images+(3).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda (pichani) amesema Serikali itaendelea kusimamia msimamo wake wa kutokuwa na dini wala nchi kutokuwa na dini lakini itaendelea kuruhusu watu wawe na dini zao.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Mei 25, 2014) kwenye ibada ya kumuweka wakfu Askofu Mteule Conrad Nguvumali wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Rukwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga. Waziri Mkuu ambaye...
5 years ago
MichuziMAHAKAMA HAIWEZI KUWA HURU BILA YA UWAJIBIKAJI NA MAADILI: JAJI MKUU
Na Lydia Churi-Mahakama, Dodoma
JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema uhuru wa Mahakama...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Hivi kweli Serikali haiwezi kupambana na majangili?
Tuna vita mikononi mwetu hivyo ni muhimu tutumie kila tulichonacho kupambana na kushinda vita hiyo.
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Minja: Serikali haiwezi kutatua mgogoro uliopo
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja amesema hakuna dalili zinazoonyesha kuwa mgogoro uliopo kati ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) utaweza kumalizwa na Serikali iliyopo madarakani.
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZZHLdIxZVU/Xl-ZaFtXU_I/AAAAAAALg7U/RLOA6qgMG1M2oSzibtkFEwm9IEIQSq0FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B1.23.16%2BPM.jpeg)
Viongozi wa Dini waahidi kuwa mabalozi wa TCRA, kutoa elimu kwa waumini
KAMATI ya Amani mkoa wa Morogoro imesema kuwa elimu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano imefika kwa wakati mwafaka kutokana na teknolojia hiyo kukua kila siku.
Wameyasema hayo wakati wa Semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa Morogoro inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutoa elimu juu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano kwa kujinga na Uhalifu unapotumia huduma hizo.
TCRA ipo katika Kampeni ya SIRUBUNIKI kuwa Mjanja ambayo inakwenda katika mikoa yote ya Tanzania Bara na...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Viongozi wa dini waionya Serikali
Siku chache baada ya vurugu kulikumba kongamano la kujadili mambo ya msingi katika Katiba Mpya lililofanyika katika Ukumbi wa Blue Pearl jijini na kuzuka kwa madai ya kupigwa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba viongozi wa dini wameonya kuwa kuna hatari ya nchi kuingia katika machafuko.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania