Viongozi wa Dini waahidi kuwa mabalozi wa TCRA, kutoa elimu kwa waumini
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZZHLdIxZVU/Xl-ZaFtXU_I/AAAAAAALg7U/RLOA6qgMG1M2oSzibtkFEwm9IEIQSq0FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B1.23.16%2BPM.jpeg)
KAMATI ya Amani mkoa wa Morogoro imesema kuwa elimu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano imefika kwa wakati mwafaka kutokana na teknolojia hiyo kukua kila siku.
Wameyasema hayo wakati wa Semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa Morogoro inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutoa elimu juu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano kwa kujinga na Uhalifu unapotumia huduma hizo.
TCRA ipo katika Kampeni ya SIRUBUNIKI kuwa Mjanja ambayo inakwenda katika mikoa yote ya Tanzania Bara na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYoATzaKP4w/XmTfbXnCrsI/AAAAAAALh7E/sb9bdzhGJyIi7zUQ_WF7wIZGDeXbhWOcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mabingwa Standard Chartered TZ waahidi kuwa mabalozi wazuri
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni Salim Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...
11 years ago
Habarileo11 Jul
'Viongozi wa dini acheni kugawa waumini'
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji, Dk Merry Nagu ameasa viongozi wa dini zote nchini, kutowagawa waumini wao kwa misingi ya vyama vyao.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Waumini wa dini chagueni viongozi bora -Madenge
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Mahmoud Madenge amesema uhuru na raha ya kuabudu vitaendelea kuwepo, endapo waumini wa dini mbalimbali watashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuchagua viongozi wanaoshughulikia matatizo ya wananchi.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
TCRA yawaonya viongozi wa dini na mitandao ya kijamii
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Viongozi wa dini washahuriwa kuwapa muda waumini wao kuielewa Katiba Pendekezwa
![DSC04728](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC04728.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zBtMBg7AKaU/ViJvF0xNzYI/AAAAAAAAbXs/qRl0YB-a_Fs/s72-c/DSC_0031.jpg)
ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zBtMBg7AKaU/ViJvF0xNzYI/AAAAAAAAbXs/qRl0YB-a_Fs/s640/DSC_0031.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2TopBDqVaXJYPgwYlfP0fnEe1IY8GFVA*iA4gB7jMF0u0cXKSFhisXA2wXfS1t7lALwnvvvlGmNMyRTWcVMB3a8/001.jpg?width=650)
NHIF YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA VIONGOZI WA SACCOS ZA WAJASIRIAMALI MANSIPAA YA ILALA