ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zBtMBg7AKaU/ViJvF0xNzYI/AAAAAAAAbXs/qRl0YB-a_Fs/s72-c/DSC_0031.jpg)
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni nahodha wa timu ya viongozi wa dini, Alhadi Mussa Salum, akinyanyua juu kikombe cha ushindi wa pili baada ya kumalizika kwa pambano la soka kati ya viongozi hao na mabalozi kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo Oktoba 17, 2015. Mabalozi walishinda kwa mikwaju ya penati 3-2 na kutwaa kombe. Katikati ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, na wakwanza ushoto ni Meneja Mkuu wa kampuni ya Acacia, anayeshughulikia ustawi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s72-c/CHF3.jpg)
NHIF Yawapongeza Viongozi wa Dini kwa kuhamasisha kaya kujiunga na CHF
![](http://4.bp.blogspot.com/-wjJkmT2Oqew/VDjVPuyBSoI/AAAAAAAGpHQ/gssTQMpIlG4/s1600/CHF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-09MEIXiS9wI/VDjVPyNIdrI/AAAAAAAGpHI/2BBiyqpBgAw/s1600/CHF2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZZHLdIxZVU/Xl-ZaFtXU_I/AAAAAAALg7U/RLOA6qgMG1M2oSzibtkFEwm9IEIQSq0FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B1.23.16%2BPM.jpeg)
Viongozi wa Dini waahidi kuwa mabalozi wa TCRA, kutoa elimu kwa waumini
KAMATI ya Amani mkoa wa Morogoro imesema kuwa elimu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano imefika kwa wakati mwafaka kutokana na teknolojia hiyo kukua kila siku.
Wameyasema hayo wakati wa Semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa Morogoro inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutoa elimu juu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano kwa kujinga na Uhalifu unapotumia huduma hizo.
TCRA ipo katika Kampeni ya SIRUBUNIKI kuwa Mjanja ambayo inakwenda katika mikoa yote ya Tanzania Bara na...
11 years ago
Habarileo06 Jan
‘Viongozi wa dini hubirini amani’
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, ametaka viongozi wa dini, wahubiri amani na uelewano ili kuendeleza umoja na mshikamano uliopo.
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Viongozi wa dini nchini wahubiri amani