Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa dini nchini wahubiri amani

>Viongozi wa dini katika makanisa mbalimbali nchini, wametumia Sikukuu ya Krismasi kuhubiri amani, kulaani ubinafsi huku wakiitaka Serikali kuhakikisha inawang’oa viongozi mizigo ambao ndio chanzo cha umaskini nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akionyesha tuzo yake mbele ya umati wa watu (hawapo pichani),aliyotunukiwa kwa mchango wake mkubwa kwa shughuli mbalimbali za kijamii,katika tamasha la pasaka.  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika tamasha la 15 la Pasaka lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex...

 

9 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI NA WASISA WAUNGANA NA JESHI LA POLISI HAPA NCHINI KUJADILI AMANI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza katika mkutano wa kujadili Amani  baina ya viongozi wa dini, viongozi wa siasa pamoja na jeshi la Polisi mkutano uliofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.  Mwakilishi mkazi wa umoja wa mataifa na UNDP, Alvaro Rodriguez akichangia maada katika mkutano wa kujadili amani uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya washiriki wakiwa katika picha ya pamoja mara baada  ya kumaliza kipindi cha kwanza katika...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU‏

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG. Askofu David Mwasota wa Kanisa la Naioth Gospel Assembly akisoma hotuba amempongeza Mhe. Bernard Membe kwa kujumuika na Watanzania katika Tamasha la kumi na tano la...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

‘Viongozi wa dini hubirini amani’

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, ametaka viongozi wa dini, wahubiri amani na uelewano ili kuendeleza umoja na mshikamano uliopo.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kuungana kuhubiri amani

VIONGOZI wa dini nchini, wametakiwa kuwa kitu kimoja kuhubiri amani katika kipindi cha kuelekea kwenye uchuguzi mkuu.

 

10 years ago

Habarileo

Wazee, viongozi wa dini wasifu amani Tarime

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaWAZEE wa kimila wa koo 13 za kabila la Wakurya, viongozi wa madhehebu ya dini na makundi ya kijamii wilayani Tarime, wameupongeza Uongozi wa wilaya ya Tarime na Jeshi la Polisi kwa kudumisha amani.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kuzindua kongamano la amani Mwanza

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani, Askofu Chalres SekelwaVIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini jijini hapa wanatarajiwa kuzindua Kongamano la Amani la siku moja linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani