Viongozi wa dini watakiwa kuungana kuhubiri amani
VIONGOZI wa dini nchini, wametakiwa kuwa kitu kimoja kuhubiri amani katika kipindi cha kuelekea kwenye uchuguzi mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jan
Kikwete awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha wanasimamia na kuhubiri amani ili kufanikisha upigaji kura wa Katiba Inayopendekezwa unaofanyika Aprili mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Viongozi wa dini watakiwa kuanzisha kamati za amani
VIONGOZI wa dini zote nchini, wameshauriwa kuanzisha Kamati za Pamoja za Amani katika mikoa waliyomo, kujadili changamoto zinazojitokeza Tanzania, zikihusisha imani.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rRl8xjcGOVw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s72-c/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
"NAOMBA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUUNGANA KULIOMBEA TAIFA MWAKA HUU WA UCHAGUZI" MHE. MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s640/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe Freeman Mbowe (Mb), ametoa ombi maalum kwa Mtume na Nabii Josephat Mwingira kuungana na Viongozi wengine wa kiroho kutoka dini zote kuliombea taifa katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu.
Mhe. Mbowe ameyasema hayo kwenye ibada maalum ya kuombea na kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba wa Nabii na Mtume wa Kanisa la Huduma ya Efatha, Josephat Mwingira, Mzee Elias Mwingira, leo Jumamosi 22 Februari 2020, Kwa Mathias, Kibaha mkoani Pwani.
"Ombi langu maalum kwako...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...