Watanzania watakiwa kuhubiri amani nchini
![](http://img.youtube.com/vi/rRl8xjcGOVw/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jul
Viongozi wa dini watakiwa kuungana kuhubiri amani
VIONGOZI wa dini nchini, wametakiwa kuwa kitu kimoja kuhubiri amani katika kipindi cha kuelekea kwenye uchuguzi mkuu.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/dGSrT30M87c/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
9 years ago
StarTV02 Jan
Watanzania watakiwa kuendeleza amani
WATANZANIA wametakiwa kuutumia mwaka mpya wa 2016 kuendeleza Sifa na Historia njema ya Tanzania katika kulinda na kudumisha amani iliyopo.
Kanisa la Tanzania Assemblies of God, TAG, mkoa wa Mbeya limesema kuingia mwaka mpya siyo sababu kwa Watanzania kuacha utamaduni wao wa kudumisha amani bali wanapaswa kuiendeleza sifa hiyo iliyoijengea Tanzania heshima Kimataifa.
Ushauri huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG mkoa wa Mbeya, Addison Mwaijunga, wakati wa ibada maalum ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cyoUCcab-To/VFokOc0rYjI/AAAAAAAGvpQ/5A2tUDyZXCQ/s72-c/unnamed.jpg)
Watanzania watakiwa kudumisha Amani na Mshikamano
Watanzania wametakiwa kuendeleza amani na mashikamano uliopo kwa maslahi ya Kizazi hiki na Kizazi Kijacho kwa kuenzi misingi ya Amani na Uzalendo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hili.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Amon Mpanju ambaye pia ni mwenyekiti wa wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Nchi ni zaidi ya itikadi na Mihemko ya watu wachache hivyo ni lazima tuwaepuke wote wanaotaka...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu
WATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Kikwete awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha wanasimamia na kuhubiri amani ili kufanikisha upigaji kura wa Katiba Inayopendekezwa unaofanyika Aprili mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...
9 years ago
MichuziMUFT MKUU WA ZANZIBAR ASISITIZA MASHEKH NA WALIMU KUHUBIRI AMANI