WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAANDAA ONYESHO ILI KUHUBIRI AMANI
![](http://img.youtube.com/vi/dGSrT30M87c/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Wabunifu wa mavazi waungana kuiombea amani Tanzania
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WABUNIFU wa mavazi nchini, Mustafa Hassanali, Kiki Zimba na Martin Kadinda wameungana kwa ajili ya kufanya onyesho la mavazi la kuiombea amani nchi ‘Fashion For Peace’ kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Onyesho hilo litafanyika Jumamosi kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam kuanzia saa mbili usiku.
“Hekima, Umoja na Amani ndio ngao zetu, ni muhimu kwetu vijana kuhakikisha tunadumisha na kulinda amani yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu,”...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rRl8xjcGOVw/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Mbunifu nyota kutoka Zanzibari kuandaa onyesho la mavazi
Zimesalia siku chache ambapo ulimwengu wa mitindo na watanzania kwa ujumla watashuhudia usiku wa staili ambao haujawahi kutokea. Mbunifu wa kimataifa mwenye makazi Zanzibar Doreen Mashika kwa kushirikiana na wanamitindo wenye vipaji vya pekee kutoka Tanzania na Kenya pamoja na mtayarishaji kutoka nchini uingereza wanakuletea usiku wa kipekee ujulikanao kama “Fashion Night In by Doreen Mashika” utakaofanyika siku ya tarehe 27 Februari katika hotel ya Hyatt Regency mjini Dar-es-Salaam....
11 years ago
Mwananchi31 May
Wabunifu mavazi wazingatie rika zote
10 years ago
Habarileo15 Jul
Viongozi wa dini watakiwa kuungana kuhubiri amani
VIONGOZI wa dini nchini, wametakiwa kuwa kitu kimoja kuhubiri amani katika kipindi cha kuelekea kwenye uchuguzi mkuu.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Kikwete awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kote nchini kuhakikisha wanasimamia na kuhubiri amani ili kufanikisha upigaji kura wa Katiba Inayopendekezwa unaofanyika Aprili mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...