Mbunifu nyota kutoka Zanzibari kuandaa onyesho la mavazi
Zimesalia siku chache ambapo ulimwengu wa mitindo na watanzania kwa ujumla watashuhudia usiku wa staili ambao haujawahi kutokea. Mbunifu wa kimataifa mwenye makazi Zanzibar Doreen Mashika kwa kushirikiana na wanamitindo wenye vipaji vya pekee kutoka Tanzania na Kenya pamoja na mtayarishaji kutoka nchini uingereza wanakuletea usiku wa kipekee ujulikanao kama “Fashion Night In by Doreen Mashika” utakaofanyika siku ya tarehe 27 Februari katika hotel ya Hyatt Regency mjini Dar-es-Salaam....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OYnq-itdFSk/VT2Y0ghO4rI/AAAAAAAAIj4/uW7TtI7PYak/s72-c/Alpha%2Bna%2BLinda%2B2.jpg)
Mahojiano na mbunifu mavazi Linda Bezuidenhout (LB) Pt II
![](http://1.bp.blogspot.com/-OYnq-itdFSk/VT2Y0ghO4rI/AAAAAAAAIj4/uW7TtI7PYak/s1600/Alpha%2Bna%2BLinda%2B2.jpg)
Ameeleza mengi kuhusu kazi yake na familia kwa ujumla.
Anavyokabiliana na kazi zake, changamoto za afanyalo, tuzo alizopata nk
Na pia, kaeleza kuhusu mtazamo wake juu ya waTanzania (hasa wa Diaspora) na ushauri kwa kinamama wote
KARIBU
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/dGSrT30M87c/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Mbunifu wa mavazi ya watu maarufu aliyejiua kwa madeni
MBUNIFU wa mitindo na mwanamitindo maarufu wa Marekani, L’Wren Scott, alikutwa amefariki dunia nyumbani kwake hivi karibuni. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi jijini Manhattan, New York, inasema Laura ‘Luann’...
10 years ago
Michuzi04 Dec
MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/15.jpg)
WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. (Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/24.jpg)
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/32.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0hsIrnjjAxE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amvalisha Rais mpya wa Zambia
![](http://1.bp.blogspot.com/-OteRK22qrEc/VMWDJTRu9wI/AAAAAAADMX8/pHwUEXbREMo/s1600/10460875_837976706263765_5760763711612857469_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3zauYTYQeU/VMWA_1P1RJI/AAAAAAADMXE/-JB62qDFr-U/s1600/54c5137b58bc2.image.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kVCyOJ-DLhI/VMU1-0SUOxI/AAAAAAADMWc/rpxt0s73dCQ/s1600/Edgar-Lungu_3175999b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SZCK8fPNflo/VMWC_Vg9uII/AAAAAAADMX0/sKQO1CkdVtw/s1600/10841859_837944056267030_287485067717353881_o.jpg)
Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini...