Wabunifu mavazi wazingatie rika zote
Moja ya mambo yaliyotawala ubongo wa binadamu ni ubinafsi. Binadamu yeyote kabla ya kuangalia jinsi anavyoweza kuchangia katika maisha ya mwenzake, hujiangalia kwanza yeye kama amejitosheleza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Wabunifu wa mavazi waungana kuiombea amani Tanzania
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WABUNIFU wa mavazi nchini, Mustafa Hassanali, Kiki Zimba na Martin Kadinda wameungana kwa ajili ya kufanya onyesho la mavazi la kuiombea amani nchi ‘Fashion For Peace’ kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Onyesho hilo litafanyika Jumamosi kwenye Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam kuanzia saa mbili usiku.
“Hekima, Umoja na Amani ndio ngao zetu, ni muhimu kwetu vijana kuhakikisha tunadumisha na kulinda amani yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu,”...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/dGSrT30M87c/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
WABUNIFU WA MAVAZI NCHINI WAKUSANYA NGUVU KWA PAMOJA KUHUBIRI JUU YA UMUHIMU WA AMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-mW3hzFCfQ6o/Vh-pwTVE7_I/AAAAAAAIAFg/A8bPonXahLQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-15%2Bat%2B3.08.49%2BPM.png)
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
5 years ago
MichuziAGAPE YATOA ELIMU YA CORONA NA UKATILI WA KIJINSIA KWA WAELIMISHAJI RIKA
Shirika la AGAPE ACP la mkoani Shinyanga linalotetea Haki za Watoto na Wanawake limetoa elimu ya ukatili wa kijinsia pamoja na namna ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona, kwa waelimishaji rika Kata ya Mwamala Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Elimu hiyo imetolewa leo Mei 28,2020 katika ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwamala kwa waelimishaji rika ambao ni viongozi wa dini, kimila, wazee maarufu, wakunga wa jadi, pamoja na vijana, kwa ufadhili wa Shirika la Mundo Cooperante.
Akizungumza...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
‘Watengenezaji wa mizinga wazingatie viwango’
WATENGENEZAJI wa mizinga ya nyuki wametakiwa kuzingatia vipimo, viwango ili kuwezesha nyuki kujenga masega na kuongeza uzalishaji wa asali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Wanaokabidhiwa nyadhifa wazingatie uadilifu -Askofu
VIONGOZI wanaokabidhiwa nyadhifa mbalimbali za uongozi nchini, wametakiwa kutenda uadilifu kwa wananchi kwa ajili ya kukuza uchumi na kuleta maendeleo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s72-c/1.jpg)
MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-URVZtmmpABM/VeVWQUDaWsI/AAAAAAAH1cY/l1jQBPc52rE/s640/2.jpg)