Wanaokabidhiwa nyadhifa wazingatie uadilifu -Askofu
VIONGOZI wanaokabidhiwa nyadhifa mbalimbali za uongozi nchini, wametakiwa kutenda uadilifu kwa wananchi kwa ajili ya kukuza uchumi na kuleta maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Zitto aanza kuvuliwa nyadhifa za bungeni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXq4imCBDPaaXGs9wvLaRyZdH5US0jOGWblMT95CdGwy5fVzaiUfsj8M7JsF7WhUegTxl4YbU6-XVu8p6wOv9v-K/JakayaKikwete1.jpg)
UVCCM MABIBO WAMPONGEZA JK KUWAVUA NYADHIFA MAWAZIRI
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
JB:Namuona Wema Akishika Nyadhifa Kubwa Siku za Usoni
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram amempongeza na kumpa moyo staa mwenzake Wema Sepetu kwa kumtabilia makubwa siku za usoni baada ya staa huyo kukosa kura za kutosha kwenye kinyang’anyiro ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi.
JB aliandika;
Watu wote masikio yao yalikuwa singida leo...kwa sababu moja tu....wema sepetu...mikoa mingine itapita wala watu hawatajua kama majina yametangazwa....mwanangu @wemasepetu. wewe ni wa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
‘Watengenezaji wa mizinga wazingatie viwango’
WATENGENEZAJI wa mizinga ya nyuki wametakiwa kuzingatia vipimo, viwango ili kuwezesha nyuki kujenga masega na kuongeza uzalishaji wa asali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi31 May
Wabunifu mavazi wazingatie rika zote
9 years ago
StarTV22 Aug
Robo tatu ya viongozi kamati tendaji ya Chadema Bunda wajiuzulu nyadhifa zao
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Bunda kimepata mpasuko mkubwa kutokana na karibu robo tatu ya viongozi wake kujiuzulu nafasi zao akiwemo katibu mwenezi wa CHADEMA jimbo la Bunda Emmanuel Malibwa, mwenyekiti wa jimbo hilo Samwel Alfred na katibu wa CHADEMA Wilaya Rita Itandilo.
Baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamesema hivi sasa watamuunga mkono mgombea wa CCM katika jimbo la Bunda Stephen Wassira kwa sababu viongozi wao wamejichanganya kwa kuwafanyia maamuzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s72-c/1.jpg)
MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnTme_g3fS0/VeVWQB2nLTI/AAAAAAAH1cc/X3EJZDpmYJY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-URVZtmmpABM/VeVWQUDaWsI/AAAAAAAH1cY/l1jQBPc52rE/s640/2.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Nov
DK MONA MWAKALINGA :Msomi anayetamani wasaniii wazingatie weledi kwenye kazi zao