DK MONA MWAKALINGA :Msomi anayetamani wasaniii wazingatie weledi kwenye kazi zao
Unapotaja orodha ya wanawake wenye mchango katika sanaa ya Tanzania, huwezi kuliweka pembeni jina la Dk Mona Mwakalinga, msomi na mkuu wa Idara ya Sanaa na Sanaa za Maonyesho ya Chuo Kikuu cha Dar es Saalam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Mona G adai nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanapokosea, itumike pia kulinda kazi zao
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.
Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...
9 years ago
StarTV19 Aug
Wanahabari wahimizwa kufanya kazi kwa weledi
Waandishi wa habari wametahadharishwa juu ya ukiukaji mkubwa wa maadili unaofanywa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu kwani hali hiyo ikiendelea inaweza kusababisha kuwepo kwa machafuko nchini.
Aidha imeelezwa kuwa ukiukwaji mkubwa ni ule wa waandishi kuamua kuwa wasemaji wakuu wa wagombea kuandika habari za kichochezi bila kuchuja na kubeba baadhi ya wagombea hata ambao hawana sifa kwa maslahi yao binafsi hali inayofanya jamii kutokuwa na imani na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q176xwNTn-s/Xnr-MJ1RjhI/AAAAAAAC8yk/fCKBQJBcAjUjJraHRmntFe4MNvOy5cdeACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATUMISHI WIZARA YA KILIMO CHAPENI KAZI KWA WELEDI-KM KUSAYA
Menejimenti ya Wizara ya Kilimo imetakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia weledi katika kutekeleza maagizo ya Rais kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na uhakika wa chakula.
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati wa hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu Mhandisi Mathew Mtigumwe yaliyofanyika makao makuu ya wizara Mtumba mkoani Dodoma na kuhudhuriwa na Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo vya wizara.
Kusaya alisema wizara ya kilimo ina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWfzptwq7rgEgMNdHTNxmdKzB8SG-k322AJ3LRKAygTCf9*1Val8*ZJpAAKIOxpjY0o1ytPAxB605--nawNpeJu/image.jpg?width=650)
MKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s72-c/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
MABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s1600/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0m_jKkKdFU/VTD5QoqOyzI/AAAAAAAHRpo/Gy64p3dF454/s1600/TIA%2B-2.jpg)