Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO

Kiongozi wa Kikundi cha Kataa Unene Family (KUF) ambaye pia ni mwandishi na mtangazaji wa Televison ya Taifa (TBC1), Angella Msangi amekemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia picha zao ili waweze kuuza biashara zao za madawa ya kupunguza uzito. Akizungumza  kwa masikitiko makubwa, Kiongozi huyo alisema kuwa kuna wafanyabiasha ambao si waaminifu wamekuwa wakichukua picha zao katika mitandao ya jamii na sehemu nyingine na kutangazia biashara zao kuwa hao wametumia dawa zao na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WAKULIMA WA PAMBA WAWEKA MAWE KWENYE ZAO HILO KUSUDI WAPATE UZITO ZAIDI

Moja ya shehena ya zao la pamba zaidi ya tani 12 zikiwa ziwekiwa maji na mawe ili kuongeza uzito kwenye mzani wa pamba kwenye kiwanda cha nida wilayani kahama ambapo zaidi ya tani tatu za mawe zilikutwa kwenye pamba hiyo .Haya ni baadhi ya mawe yalikutwa kwenye pamba ambayo imetokea wilya ya igunga mkoani Tabora ambapo kulikuwa na kila moja jiwe likuwa na kilo kumi mpaka ishirini .Moja wa wapangazi wa wa zao la pamba katika kiwanda cha nida kitoa maelenzo juu ya jinsi alivyoshangaa kuona...

 

10 years ago

CloudsFM

H Baba awafungukia wasanii wanaokodisha watu kuwazomea wenzao kwenye shoo zao

Msanii wa Bongo Fleva,Hamis Baba amewafungukia baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokodisha watu kwa kuwalipa fedha kwa ajili ya kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo.

H Baba ameyazungumza hayo kwenye mahojiano maalum na Clouds Fm kuhusu tabia iliyojitokeza ya baadhi ya wasanii kudaiwa kukodi watu kwa kuwalipa na kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo. Aidha msanii huyo alisema kuwa anasikitishwa sana na hali hiyo kwani anaona kuna hatari kubwa sana inakuja mbele kama hali itaendelea na...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond aruhusu watu kutumia picha zake kwenye biashara ya T-shits na Salon

Hit maker wa My Number One, Diamond Platinumz amesema anajisikia furaha kuona vijana wakijitafutia riziki kwa kuuza T-shits zenye picha yake. “Kuwekwa tu pale kwangu mimi nimefurahi, nisiwe mnafiki. Siwezi kusema nimesikia uchungu eti kwa nini ametumia sura yangu. Yaani nimefurahi kwa sababu ninaona kama taifa limeni-appreciate kazi yangu na mtu katengeneza t-shits na kauza […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

9 years ago

StarTV

Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani

 

Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.

Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...

 

11 years ago

Habarileo

Wateja wa umeme, maji hawaelewi haki zao

Mwenyekiti wa EWURA CCC, Profesa Jamidu KatimaBARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA CCC) limesema sekta za nishati na maji , zinakabiliwa na changamoto ya watumiaji wa huduma hizo, kutokuwa na uelewa kuhusu haki na wajibu wao, jambo linalotoa mwanya kwa watoa huduma kutowajibika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakazi warejelea biashara zao Kariakoo

Wakazi wengi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam wamerejelea biashara zao baada ya kuzifunga kwa muda kutokana na uchaguzi uliofanyika Jumapili ingawa wateja si wengi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wahimizwa kusajili majina ya biashara zao

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya, wametakiwa kusajili majina ya biashara zao kama moja ya njia ya kuzirasimisha na hatimaye kuwa na uwezo wa kufaidika na huduma za kibenki. Rai hiyo ilitolewa mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani