Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani

 

Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.

Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo

DSC_0540

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake  ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...

 

11 years ago

GPL

WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO‏

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao

WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi waaswa kuwa karibu na watoto

WAZAZI na walezi nchini, wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuwapa malezi bora na kuwaepusha na makundi mabaya ya uhalifu.

 

10 years ago

Michuzi

BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA

 Mratibu wa programu na Uhamasishaji wa Shirika lisilo la kiserikali la C-Sema, Michael Kehongoh akitoa maada katika semina iloyowashirikisha wanachama wa Chama cha Waandishi wa habari za watoto(TAJOC),Watunga sera na watoa maamuzi kutoka Wizara mbalimbali katika kujadili masuala ya watoto iliyofanyika katika hoteli ya Regence jijini Dar es Salaam.  Mratibu wa utetezi na ushawishi wa SOS nchini, John Batista akitoa maada katika  Semina iloyowashirikisha wanachama wa Chama cha Waandishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kingunge Ngombale,Mwilu (kushoto) akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari Dar es Salaam leo ,Kuhusu mkutano mkuu wa  chama hicho uliofayika Dodoma hivi karibuni na mchakato wa kumpata mgombea Urais na  changamoto zilizojitokeza. Mwanasiasa Mkongwe nchini,Kingunge Ngombale Mwilu akisisitiza jambo mbele ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani) mapema leo,nyumbani kwake makumbusho,jijini Dar.PICHA NA MICHUZI JR.. Na...

 

5 years ago

Michuzi

DC MSHAMA-AWAASA WAZAZI KUWAKALANTIN WATOTO WASIDHURULE MITAANI NA NGOMA,MDUNDIKO HAKUNA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha,mkoani Pwani Assumpter Mshama ,amewaasa wazazi na walezi kuwakalantin watoto wao kwa kuwasimamia wabaki majumbani,pamoja na kujiendeleza kujisomea pasipo kudhurura magulioni wala mitaani .
Amesema serikali imeshachukua hatua ili kujilinda na corona ,hivyo kuwaacha watoto hao wadhurure badala ya kutulia kujilinda nyumbani itakuwa ni hatari kwa afya zao.
Akiendelea kukumbushia umuhimu wa kijilinda dhidi ya ugonjwa wa corona kwa ...

 

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waaswa kuwasomesha watoto Wa Kike Kigoma

Wazazi na walezi nchini wamekumbushwa umuhimu wa kumuwezesha mtoto wa kike kupata elimu sawa na wa kiume jambo litakalosaidia kundi hilo kutumia fursa zinazoendela kujitokeza kujiletea maendeleo yao binafsi, familia na Taifa kwa ujumla.

Aidha kasi ya sasa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yanalifanya suala la elimu kuwa jambo  linalohitajika zaidi kupewa kipaumbele kwa  ustawi wa Taifa lolote duniani.

Hayo yamebaniishwa   katika mahafari ya kwanza ya kidaoto cha nne kwa shule ya sekondari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani