Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani
Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.
Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0540.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao
WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wazazi waaswa kuwa karibu na watoto
WAZAZI na walezi nchini, wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuwapa malezi bora na kuwaepusha na makundi mabaya ya uhalifu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s72-c/1.jpg)
BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuHYtUPVU4U/VWM7pm1YVMI/AAAAAAAC5CY/FbrbyyAvC40/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s72-c/_MG_6453.jpg)
KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-LnJ2JohNx4I/VaZhLTMUJTI/AAAAAAAC8kE/LJf90CHSfNU/s640/_MG_6453.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-69n8_eYeKbU/VaZhKwT1LEI/AAAAAAAC8kA/Ik2GxrZzM5w/s640/_MG_6474.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YQ34kPig2N8/XoXURd-vn7I/AAAAAAALl1Y/qkGUpu9J3yEwY4gPu_au9u4ecnj32oeVACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200402-122122_1585819359596.jpg)
DC MSHAMA-AWAASA WAZAZI KUWAKALANTIN WATOTO WASIDHURULE MITAANI NA NGOMA,MDUNDIKO HAKUNA
MKUU wa wilaya ya Kibaha,mkoani Pwani Assumpter Mshama ,amewaasa wazazi na walezi kuwakalantin watoto wao kwa kuwasimamia wabaki majumbani,pamoja na kujiendeleza kujisomea pasipo kudhurura magulioni wala mitaani .
Amesema serikali imeshachukua hatua ili kujilinda na corona ,hivyo kuwaacha watoto hao wadhurure badala ya kutulia kujilinda nyumbani itakuwa ni hatari kwa afya zao.
Akiendelea kukumbushia umuhimu wa kijilinda dhidi ya ugonjwa wa corona kwa ...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wazazi, walezi waaswa kuwasomesha watoto Wa Kike Kigoma
Wazazi na walezi nchini wamekumbushwa umuhimu wa kumuwezesha mtoto wa kike kupata elimu sawa na wa kiume jambo litakalosaidia kundi hilo kutumia fursa zinazoendela kujitokeza kujiletea maendeleo yao binafsi, familia na Taifa kwa ujumla.
Aidha kasi ya sasa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yanalifanya suala la elimu kuwa jambo linalohitajika zaidi kupewa kipaumbele kwa ustawi wa Taifa lolote duniani.
Hayo yamebaniishwa katika mahafari ya kwanza ya kidaoto cha nne kwa shule ya sekondari...