WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0540.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Waandishi wa habari waaswa kushirikiana na TMF ili kupunguza utegemezi wa matangazo
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa kjinsia, kupamba na biashara ya madawa ya kulevya na kuzuia utumiaji wa madawa ya Kulevya kwa waandishi wa habari na utayarishaji na utengenezaji wa vipindi vya luninga na wanawake watangazaji jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. kushoto kwake ni Msaidizi wa Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg?width=640)
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
10 years ago
Vijimambo20 Apr
TMF, UN YATOA VYETI KWA WANAHABARI WAANDISHI WA HABARI ZA DAWA ZA KULEVYA
![Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0271.jpg)
![Mwakilishi wa Mmoja wa Mataifa na Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Tanzania, Dk. Jama Gulaid (kulia) akimpongeza mmoja wa wanahabari kabla ya kupokea cheti chake katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0280.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Mar
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
![DSC_1151](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg)
Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande (mwenye suti ya damu ya mzee) akinyoosha kidole kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (wa pili kulia) sehemu korofi za kutiririsha maji machafu barabara ya Morogoro kati kati ya jiji.
Na Damas Makangale
WATENDAJI wa Mamlaka za Maji Safi na Taka, Manispaa, Halmashauri, Wakala wa Barabara na Mabasi yaendayo kasi wameshauri kuwa na utaratibu wa kuwasiliana na kushirikiana kwa pamoja ili kuleta tija katika...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
9 years ago
StarTV24 Dec
Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani
Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.
Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_05751.jpg)
MO ATAKA MADHEBEBU YA DINI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI ILI KULETA MAENDELEO ENDELEVU