WAKULIMA WA PAMBA WAWEKA MAWE KWENYE ZAO HILO KUSUDI WAPATE UZITO ZAIDI
Moja ya shehena ya zao la pamba zaidi ya tani 12 zikiwa ziwekiwa maji na mawe ili kuongeza uzito kwenye mzani wa pamba kwenye kiwanda cha nida wilayani kahama ambapo zaidi ya tani tatu za mawe zilikutwa kwenye pamba hiyo .
Haya ni baadhi ya mawe yalikutwa kwenye pamba ambayo imetokea wilya ya igunga mkoani Tabora ambapo kulikuwa na kila moja jiwe likuwa na kilo kumi mpaka ishirini .
Moja wa wapangazi wa wa zao la pamba katika kiwanda cha nida kitoa maelenzo juu ya jinsi alivyoshangaa kuona...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2QWfwzgi1lo/Xnr-QljSZRI/AAAAAAAC8y4/OZcKGWo4ccs_e8BgZzC5LU28wtUu3-CtgCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wakulima wa parachichi wahitaji elimu zaidi ya magonjwa ya zao hilo
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza wataalamu...
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bb2w7Qg3C3M/VlDMVMWnlsI/AAAAAAAIHuo/x20rprP-A4o/s72-c/4aa90940-dfbc-43b0-a83c-d381830324ff.jpg)
WAKULIMA WA KAROTI WALIA NA BEI YA ZAO HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bb2w7Qg3C3M/VlDMVMWnlsI/AAAAAAAIHuo/x20rprP-A4o/s640/4aa90940-dfbc-43b0-a83c-d381830324ff.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JJ6l1gHrxg0/VlDMVuuSE2I/AAAAAAAIHus/JSDI9oVwPbY/s640/a5c6e55e-5fa9-4963-bf01-1d64ec8812b2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-2QWfwzgi1lo/Xnr-QljSZRI/AAAAAAAC8y4/OZcKGWo4ccs_e8BgZzC5LU28wtUu3-CtgCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WAKULIMA WAHITAJI ELIMU ZAIDI MAGONJWA YA ZAO LA PARACHICHI
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Pamba yawekwa maji, sukari kuongeza uzito
WAKULIMA wa zao la pamba na wanunuzi wa zao hilo, wamekuwa ni chanzo cha kudhoofisha zao hilo, hivyo kushindwa kuingia katika ushindani wa soko.
9 years ago
Habarileo21 Aug
King Mawe, Mulo kupima uzito leo
MABONDIA Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ na Ally Mulo wanatarajia kupima uzito leo kwa ajili ya pambano lao litakalofanyika kesho katika viwanja vya shule ya Uhuru Wasichana Kariakoo Dar es Salaam.