WAKULIMA WA KAROTI WALIA NA BEI YA ZAO HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bb2w7Qg3C3M/VlDMVMWnlsI/AAAAAAAIHuo/x20rprP-A4o/s72-c/4aa90940-dfbc-43b0-a83c-d381830324ff.jpg)
Kiroba cha karoti ambacho kwa huko shambani kinauzwa kwa shilingi elfu tano tu fedha ambazo inasemekana ni kidogo ikilingamishwa na uzalishaji wa zao hilo
Wakulima mashuhuri wa mbogamboga ikiwemo karoti katika kijiji Ndabwa wilaya ya Lushoto mkoani Tanga, Rehema Shegulio (kushoto) na Hadija Shabani wakiwa wameshikilia karoti zao ambazo ni kubwa mithili ya mihogo. Picha na Vedasto Msungu
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2QWfwzgi1lo/Xnr-QljSZRI/AAAAAAAC8y4/OZcKGWo4ccs_e8BgZzC5LU28wtUu3-CtgCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wakulima wa parachichi wahitaji elimu zaidi ya magonjwa ya zao hilo
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza wataalamu...
9 years ago
VijimamboWAKULIMA WA PAMBA WAWEKA MAWE KWENYE ZAO HILO KUSUDI WAPATE UZITO ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Wakulima ‘walia’ na viongozi
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakulima walia na kodi
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Wakulima walia na DC Mvomero
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, mmiliki wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa na Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD), wanadaiwa kuukacha mkutano wa wakulima wa miwa wa nje...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Wafanyabiashara walia nyanya kupanda bei
NYANYA ni tunda au mboga? Mkanganyiko huo umeibuka kwa sababu ya tofauti ya matumizi kati ya wanasayansi na wapishi. Wanasayansi wanasema nyanya ni tunda. Kwa hapa nchini, nyanya hutumika kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Wakulima walia na uendeshaji wa kesi za mifugo
KUNDI la wakulima katika Kijiji cha Pongwe Kiona wamelalamikia uendeshwaji wa kesi za migogoro baina yao na wafugaji hatua inayochangia kuendelea kujitokeza kwa manyanyaso kwa kundi hilo. Wakizungumza katika mkutano...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wakulima mananasi Geita walia na soko