Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKULIMA WA KAROTI WALIA NA BEI YA ZAO HILO

Kiroba cha karoti ambacho kwa huko shambani kinauzwa kwa shilingi elfu tano tu fedha ambazo inasemekana ni kidogo ikilingamishwa na uzalishaji wa zao hilo Wakulima mashuhuri wa mbogamboga ikiwemo karoti katika kijiji Ndabwa wilaya ya Lushoto mkoani Tanga, Rehema Shegulio  (kushoto) na Hadija Shabani wakiwa wameshikilia karoti zao ambazo ni kubwa mithili ya mihogo. Picha na Vedasto Msungu 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wakulima wa parachichi wahitaji elimu zaidi ya magonjwa ya zao hilo

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza wataalamu...

 

9 years ago

Vijimambo

WAKULIMA WA PAMBA WAWEKA MAWE KWENYE ZAO HILO KUSUDI WAPATE UZITO ZAIDI

Moja ya shehena ya zao la pamba zaidi ya tani 12 zikiwa ziwekiwa maji na mawe ili kuongeza uzito kwenye mzani wa pamba kwenye kiwanda cha nida wilayani kahama ambapo zaidi ya tani tatu za mawe zilikutwa kwenye pamba hiyo .Haya ni baadhi ya mawe yalikutwa kwenye pamba ambayo imetokea wilya ya igunga mkoani Tabora ambapo kulikuwa na kila moja jiwe likuwa na kilo kumi mpaka ishirini .Moja wa wapangazi wa wa zao la pamba katika kiwanda cha nida kitoa maelenzo juu ya jinsi alivyoshangaa kuona...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika  alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

IMG_5802

 Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima ‘walia’ na viongozi

Wakulima na wafugaji wa Kijiji cha Kidunda Kata ya Mkulazi Mkoa wa Morogoro Vijijini, wameiomba Serikali kuwawajibisha baadhi ya viongozi, ambao wamekuwa chanzo cha migogoro inayokwamisha shughuli zao za uchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima walia na kodi

Wakulima wa mkonge nchini wameiomba Serikali kuondoa kodi sumbufu ikiwamo ya ardhi,OSHA, kodi ya mafuta , VAT kwenye nyuzi na ushuru wa mazao ili kupunguza mzigo wa uendeshaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walia na DC Mvomero

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, mmiliki wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa na Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD), wanadaiwa kuukacha mkutano wa wakulima wa miwa wa nje...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara walia nyanya kupanda bei

NYANYA ni tunda au mboga? Mkanganyiko huo umeibuka kwa sababu ya tofauti ya matumizi kati ya wanasayansi na wapishi. Wanasayansi wanasema nyanya ni tunda. Kwa hapa nchini, nyanya hutumika kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walia na uendeshaji wa kesi za mifugo

KUNDI la wakulima katika Kijiji cha Pongwe Kiona wamelalamikia uendeshwaji wa kesi za migogoro baina yao na wafugaji hatua inayochangia kuendelea kujitokeza kwa manyanyaso kwa kundi hilo. Wakizungumza katika mkutano...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima mananasi Geita walia na soko

Wakulima wa mananasi katika Kijiji cha Igate, mkoani Geita wamesema kukosekana kwa soko la uhakika wa zao hilo, kunasababisha hasara na kuwavunja nguvu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani