Mbeya wahimizwa kusajili majina ya biashara zao
WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya, wametakiwa kusajili majina ya biashara zao kama moja ya njia ya kuzirasimisha na hatimaye kuwa na uwezo wa kufaidika na huduma za kibenki. Rai hiyo ilitolewa mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Brela na harakaki za kusajili majina ya biashara
HIVI karibuni, kuhusu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wake na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi ilitangaza siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa...
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Wajasiriamali wahimizwa kutumia Internet kutangaza biashara zao!
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Zanzibar, Bw. Salim Maulidi Salim akimkabidhi picha ya mlango wa asili ya Zanzibar, Mwenyekiti wa Watanzania wanaoishi jijini Birmingham, Bw. Prince Kateka II ikiwa ni ishara ya kukaribishwa Zanzibar.
Wafanyabiashara wamehimizwa kutumia mtandao wa internet kutangaza bidhaa na huduma wanazotoa kwa kuwa njia hiyo ni nafuu na inawafikiwa watu wengi kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Bw. Dickson Inachee, Raia wa Uganda alipokuwa anatoa mada katika kongamano la siku...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QApnrkUNGFo/Vev3cEuly5I/AAAAAAAAhq4/h2FOaN73ao4/s72-c/DSC_0336.jpg)
WAJASILIAMALI WAHIMIZWA KUTUMIA INTERNET KUTANGAZA BIASHARA ZAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-QApnrkUNGFo/Vev3cEuly5I/AAAAAAAAhq4/h2FOaN73ao4/s640/DSC_0336.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wateja wahimizwa kusajili laini
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imezindua zoezi la kuhamasisha wateja kusajili laini zao. Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Pratap Ghose, alisema juzi kuwa kampeni hiyo inalenga kutambua wateja wote...
11 years ago
Mwananchi22 May
Namna ya kusajili biashara yoyote
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Umuhimu na jinsi ya kusajili alama za biashara
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
10 years ago
Habarileo25 Apr
Wahimizwa kuchangamkia biashara Comoro
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji Visiwani Comoro, kwani uhusiano baina ya nchi hizo mbili umeimarika.
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Waandishi wahimizwa kuelemisha wanawake juu ya haki zao
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel LimuWAANDISHI wa habari mkoa wa Singida, wamehimizwa kutumia kalamu zao kuwaelimisha wanawake juu ya haki zao mbalimbali ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao.
Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki na kiongozi wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa Singida Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Eileen Mbwatila wakati akizungumza na waandishi wa habari wanaotathmini utekelezaji wa mradi wa...