Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wateja wahimizwa kusajili laini

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Zantel imezindua zoezi la kuhamasisha wateja kusajili laini zao. Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Pratap Ghose, alisema juzi kuwa kampeni hiyo inalenga kutambua wateja wote...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OFM YAFICHUA MAGUMASHI YA KUSAJILI LAINI

Kikiosi cha OFM kikifanya uchunguzi kwa wakala magumashi. Stori: Waandishi Wetu/Amani WAKATI Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ikiwasisitiza Watanzania na wamiliki wa kampuni za simu za mkononi kusajili laini zao kihalali ili kila mmoja abaki na taarifa sahihi, kitengo cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publisher mwanzoni mwa mwaka huu kilibaini usajili usiokidhi vigezo unaofanywa na mawakala wa Kampuni moja....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wahimizwa kusajili majina ya biashara zao

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya, wametakiwa kusajili majina ya biashara zao kama moja ya njia ya kuzirasimisha na hatimaye kuwa na uwezo wa kufaidika na huduma za kibenki. Rai hiyo ilitolewa mjini...

 

11 years ago

Habarileo

Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.

 

10 years ago

Vijimambo

Simba laini sana kwa Mtibwa

Nahodha wa zamani na Taifa Stars,Mecky Mexime ambae kwa sasa anakiongoza kikosi cha Mtibwa Sugar.
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.

Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...

 

11 years ago

Habarileo

Zantel yahamasisha usajili wa laini za simu

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imezindua mpango mahususi wa kuhamasisha wateja kusajili laini zao kwa mujibu wa sheria ya serikali inayozitaka kampuni za simu kufanya usajili wa wateja wao.

 

11 years ago

Mwananchi

CAF yaipa Yanga timu laini

Yanga imepangwa na timu laini ya Komorozine ya Comorro katika mechi za raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati Azam imepangiwa Ferroviario Da Beira ya Msumbiji kwenye Kombe la Shirikisho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtunisia: Nyota Yanga laini sana

Dar es Salaam. Beki wa kati wa Etoile du Sahel, Bedoui Rami amesema tatizo kubwa la Yanga ni wachezaji wake kuwa legelege, hawana nguvu na kwa staili hiyo hawawezi kupiga hatua kwenye soka la kimataifa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

DOWNLOAD: LAINI - G NAKO WARAWARA ft. NIKKI WA PILI (NEW)


Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani