Mtunisia: Nyota Yanga laini sana
Dar es Salaam. Beki wa kati wa Etoile du Sahel, Bedoui Rami amesema tatizo kubwa la Yanga ni wachezaji wake kuwa legelege, hawana nguvu na kwa staili hiyo hawawezi kupiga hatua kwenye soka la kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Dec
Simba laini sana kwa Mtibwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mecky-mexime-nipashe-December8-2014.jpg)
Simba imejikuta ikifunzwa soka na Mtibwa Sugar baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 4-2 katika mchezo wa kirafiki uliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, hiyo ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Kikosi A cha Simba kucheza kwenye uwanja huo tangu ujengwe miaka minne iliyopita.
Wenyeji Simba walifungua mlango wa mabao dakika 23 kiungo Said Ndemla alipokifungia Kikosi cha...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
CAF yaipa Yanga timu laini
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Nyota waliong'ara sana bila kutwaa Ballon d’Or
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Nyota Yanga wamlilia Jaja
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Yanga yaanika nyota Kagame
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alitangaza kikosi kitakachokwenda mjini Kigali, Rwanda kucheza michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Agosti 8. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Nyota 10 Simba, Yanga sokoni
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Nyota Yanga nusura wazichape
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Pluijm awaonya nyota Yanga
10 years ago
Mtanzania23 May
Yanga yawatuliza nyota wake
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...